Watanzania tuache zile zama za ujinga eti chuo cha udom cha kata,
Kwani chuo cha Kata hakifundishi wangap msesoma shule za Kata na mmefaulu vzuri
Kuna ajabu gani mtu kusoma chuo cha kata
Dhana ya GPA pia sio kigezo maisha saiz akili yako tu na ufanisi wako kuna watu wana Big GPA na bado wapo mtaani miaka mingi tu
Wakuu dhana ya GPA kubwa au ndogo haina maana chamsingi ufanisi na ubunifu tu
Kwani chuo cha Kata hakifundishi wangap msesoma shule za Kata na mmefaulu vzuri
Kuna ajabu gani mtu kusoma chuo cha kata
Dhana ya GPA pia sio kigezo maisha saiz akili yako tu na ufanisi wako kuna watu wana Big GPA na bado wapo mtaani miaka mingi tu
Wakuu dhana ya GPA kubwa au ndogo haina maana chamsingi ufanisi na ubunifu tu