Hivi kwanini wahitimu wa Udom wanapata ajira sana

Hivi kwanini wahitimu wa Udom wanapata ajira sana

Watanzania tuache zile zama za ujinga eti chuo cha udom cha kata,
Kwani chuo cha Kata hakifundishi wangap msesoma shule za Kata na mmefaulu vzuri
Kuna ajabu gani mtu kusoma chuo cha kata

Dhana ya GPA pia sio kigezo maisha saiz akili yako tu na ufanisi wako kuna watu wana Big GPA na bado wapo mtaani miaka mingi tu

Wakuu dhana ya GPA kubwa au ndogo haina maana chamsingi ufanisi na ubunifu tu
 
tatzo watu wanapenda kuish kwa propaganda uchwara, hakuna chuo kscho na mapunguf, lakn kuhusu udom hiv sasa wamepga hatua kubwa sana, last year ofisin kwetu tulifanya interview ndio tukajua udom wapo smart sana kuanzia kujieleza kufikir nidham na kiutendaj, tulitoa case study moja then tukawaweka watu ktk makund huez amin udom walikua mstar wa mbele kugundua mbinu zote tulizoweka kujua tulichokua tunaktaka walipokua eneo husika, this year somewhere tumefanya interview pia udom wameonyesha wanatechnics nzur sana wanapopata fursa ya kuajiriwa, tumewajir weng japo wapo na vyuo vngne ila wao ndio wamekua mfano.. wew unaekaa kupga porojo kuhusu udom endelea
NA WEWE PIA UTAKUWA UMESOMA UDOM
 
Watanzania tuache zile zama za ujinga eti chuo cha udom cha kata,
Kwani chuo cha Kata hakifundishi wangap msesoma shule za Kata na mmefaulu vzuri
Kuna ajabu gani mtu kusoma chuo cha kata

Dhana ya GPA pia sio kigezo maisha saiz akili yako tu na ufanisi wako kuna watu wana Big GPA na bado wapo mtaani miaka mingi tu

Wakuu dhana ya GPA kubwa au ndogo haina maana chamsingi ufanisi na ubunifu tu
uko sahh
 
Inasikitisha ukipitia hizi comment za wanaojiita wasomi [emoji23][emoji23]........fact ni kwamba usome UDSM, UDOM, SAUT, MZUMBE mwisho wa siku mtakutana kwenye interviews apoo ndo pakuonyeshana huu ubabe
 
Nimesikia hata mwalimu frank wa mbeya day sec. ni mojawapo ya vipanga wa udsm.
 
Niseme tu wazi mimi nimesoma UDSM, Ila sifurahishwi na jinsi ambavyo wahitimu wa udom wanavyopewa upendeleo ktk soko ajira kwasasa kuliko vyuo vingine au upendeleo?

Hivi karibuni nilikuwa nchini Botswana na Korea, nilibahatika kukutana na vijana wa Kitanzia wanaofanya kwenye mashirika ya USAID na UN respectively, kwenye maongezi yetu nikawahoji mmesoma vyuo gani wakasema Udom.

Nilishtuka sana maana sikutegemea chuo kipya kama hiki kinaweza kutoa graduates makini, wakaniambia tatizo Tz tumekariri kwamba kusoma chuo fulani basi wewe ndio unajua kumbe waajiri wanaangalia competency.

Pia juzi kulikuwa na interview ya kazi kwenye ofisi zetu katika vijana 24 waliokuwa shortlisted kwa ajiri ya Oral 9 walikuwa UDOM, 5 udsm, 5 SAUT, 3 IFM, MZUMBE 1, MUCCOBS 1, na waliofanikiwa kupata ajira na wanaripoti kazini jumatatu ni watano, udom 3, saut 1 na Muccobs 1.

Wale wazungu waliokuwa wakifanya interview walisifu sana uwezo wa vijana wa udom.

Pia nimesikia watu wakilalamika kuwa si kweli udom wapo vizuri bali wanapendelewa tuu ili kuuza jina la chuo, je haya madai ni ya kweli wadau?
Mimi nadhani... Ukiwa kama Graduate hupaswi kuamini katika upendeleo.... Mimi nadhani Jina la chuo haliwezi kumfanya mwajiri akufanyie consideration badala yake... Ni namna unavyoweza kupambanua Mambo katika Interview... mfano Mimi nipo Azam ICD... Pale kwetu Huwa tunaamini vijana waliosoma NIT au TIA wapo vizuri especially tokea wakiwa field mpka kwenye Interviews .... Wanafunzi wa UDSM... wakijaga kwenye field... Wanakuwaga shallow Sana!!!...
 
Back
Top Bottom