Hivi kwanini wahitimu wa Udom wanapata ajira sana

Hivi kwanini wahitimu wa Udom wanapata ajira sana

Ujinga ni pale unapoenda kusoma bachelor of arts in drinking water UDSM na unajilinganisha na MD wa UDOM

Nyie vijana hata chuo hamjafika ila mbwembwe mingi sana na vicommunity development vyenu
Huyo naye anayesoma MD huko UDOM hajielewi.
 
hapo kwenye RED umetudhihirishia product ya UDOM isivyokuwa makini
Kama ningepangwa UDOM baada ya Six ningekaa tu nyumbani nisubiri next year of Application.

UDOM Hapana kwakweli.
 
Niseme tu wazi mimi nimesoma UDSM, Ila sifurahishwi na jinsi ambavyo wahitimu wa udom wanavyopewa upendeleo ktk soko ajira kwasasa kuliko vyuo vingine au upendeleo?

Hivi karibuni nilikuwa nchini Botswana na Korea, nilibahatika kukutana na vijana wa Kitanzia wanaofanya kwenye mashirika ya USAID na UN respectively, kwenye maongezi yetu nikawahoji mmesoma vyuo gani wakasema Udom.

Nilishtuka sana maana sikutegemea chuo kipya kama hiki kinaweza kutoa graduates makini, wakaniambia tatizo Tz tumekariri kwamba kusoma chuo fulani basi wewe ndio unajua kumbe waajiri wanaangalia competency.

Pia juzi kulikuwa na interview ya kazi kwenye ofisi zetu katika vijana 24 waliokuwa shortlisted kwa ajiri ya Oral 9 walikuwa UDOM, 5 udsm, 5 SAUT, 3 IFM, MZUMBE 1, MUCCOBS 1, na waliofanikiwa kupata ajira na wanaripoti kazini jumatatu ni watano, udom 3, saut 1 na Muccobs 1.

Wale wazungu waliokuwa wakifanya interview walisifu sana uwezo wa vijana wa udom.

Pia nimesikia watu wakilalamika kuwa si kweli udom wapo vizuri bali wanapendelewa tuu ili kuuza jina la chuo, je haya madai ni ya kweli wadau?
UDSM hawasomi ***** kama ww sema unasoma au ulisoma kule chuo cha kata na hapa unajaribu kuwapa ***** wenzako moyo kwamba dhamani ya mkaa ni bora kuliko dhahabu. Afu pili jifunze kuandika kiswahili kwa ufasaha.yangu ni hayo tu mkuu *****[emoji108] [emoji108]
 
Ey
Bila samahani mkuu maana umemfumbua akili huyu ***** wa udom anayejivika ngozi ya chuo cha taifa
Et chuo cha taifa !!mhu !!yaaan umebahatika kusoma udsm ndyo unajiona !!!!!mung anakuona
 
Ujinga ni pale unapoenda kusoma bachelor of arts in drinking water UDSM na unajilinganisha na MD wa UDOM

Nyie vijana hata chuo hamjafika ila mbwembwe mingi sana na vicommunity development vyenu
Kama MD yenu ingekuwa bora msingefungiwa kudahili wanafunzi na tcu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mi nashauri tuhame katika kusaka mbinu za kupata ajira na tujipange kujiajiri zaidi,fikra za kujiajiri tuzipande sana kwa watoto wetu,na tuwape sifa na zawadi kila wanapoonesha uwezo wa kuwa wadadisi na kuwa na mbinu za kujiajiri,ukitaka kufa masikini waza kuajiriwa na ukitaka kuwa tajiri waza kujiajiri kwani kuajiriwa ni sawa na mfungwa isipokuwa unakuwa mfungwa wa nje.
Sasa mtaji wa kujiajiri utapata wapi ukiwa ni fresh from school???
 
Ukitaka kujua MAKAO MAKUU university ni zigo la nnnya tizama wahitimu wa chuo pendwa toka chuo cha stendi moro wanavyokimbilia/ nyapia nyapia huko hutawakuta anaenda MUHAS Au UDSM au SUA wote utawakuta hukoo CDA
 
Ahahaha chuo ni chuo tu,kama una uwezo mdogo utapataje kazi?
 
Back
Top Bottom