Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
kufumba na kufumbua, UDOM imeizidi ubora UDSM!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udom mbumbumbu zote
Udom wako vema sana...kama huamini nenda World Vision..USAID..KOICA..ofisi ya waziri mkuu na n.k...uulizie utendaji wao...nyie endeleeni kubaki na majina ya vyuo kwa sifa za enzi za mwalimu
Discxn za ktt hz
Ni dhahir kwamba UDOM ya sasa hv imebadilika kwa kiasi kikubwa sana nikiwa kama mwanafunzi wa pale UDOM sasa HV inazalishwa watu wenye uwezo unaohitajika. Hii ni matokeo ya review curriculum ambayo yamekuwa yakiendelea kufanyika ili kuhakikisha kwamba uwezo bora unaohitajika Na waajili mbalimbali hasa mwajiri mkubwa ambaye ni serikali unafikiwa. Wapo ambao wanasema kile chuo ni cha kisiasa kwahiyo hata ajira wanabebwa kwa sura ya chama tawala lakini ukweli ni kwamba lazima ukubali mabadiliko ili uweze kubadilika. hili ni tatizo kubwa sana kwa ndugu zetu wachache ambao uwezo wao wa kufikiri ni mdogo ambao wanashindwa kutambua uwepo wa UDOM kama chuo kikuu
Huu ni uongo wa wazi wazi...na kujitangazia udhaifu wako mleta uzi.
Unataka kusema kina hadhi ya amazon college kisima cha mafanikio??Kata bora kiiitwe training collage
HahahahaHakuna chuo kina wanafunzi mambulumundu na empty headed kama UDOM..labda ajira za gesti
Udom chuo cha kata ndo wanaongoza kwa GPA chafu chafu wengi wao wana range 2. 5 ad 2.8 nina evidence
Hahahaha