Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Dini, ushoga na ushetani mwingine ungepenyaje iwapo wangesema Mila zenu ni nzuri?Wazungu/ Wakoloni walisema utamaduni wetu ni wakishenzi ndio maana
mpaka leo watu wengi hatupendi sana tamaduni zetu za asili mfano
lugha, majina, goma na kadhalika. Unafikiri sababu ni ipi wakoloni kusema
hivyo.?
Waliamua kutudhoofisha kwanza sio?Dini, ushoga na ushetani mwingine ungepenyaje iwapo wangesema Mila zenu ni nzuri?
Wazungu waliukuta ushoga Africa na wao ndio walikuwa wa kwanza kuweka rasmi sheria za kuufanya ushoga jinai.Dini, ushoga na ushetani mwingine ungepenyaje iwapo wangesema Mila zenu ni nzuri?
Hii ni fact, Ushoga ulikuwepo kama tamaduni kwa baadhi ya koo.Wazungu waliukuta ushoga Africa
Hakukuwa na ushoga labda huko visiwani mwambaoniWazungu waliukuta ushoga Africa na wao ndio walikuwa wa kwanza kuweka rasmi sheria za kuufanya ushoga jinai.
Visiwani mwambaoni ni Ulaya?Hakukuwa na ushoga labda huko visiwani mwambaoni
Kwa sababu kipindi wao wametoka maili Elfu na kuja kutafuta mali,walipofika sisi tukawapa Mali Bure.Wazungu/ Wakoloni walisema tamaduni zetu niza kishenzi ndio maana
mpaka leo watu wengi hatupendi sana tamaduni zetu za asili mfano
lugha, majina, goma na kadhalika. Unafikiri sababu ni ipi wakoloni kusema
hivyo.?
Ndiyo. England ni kisiwaVisiwani mwambaoni ni Ulaya?
We jamaa unapenda kutetea ushoga we ni shoga?Wazungu waliukuta ushoga Africa na wao ndio walikuwa wa kwanza kuweka rasmi sheria za kuufanya ushoga jinai.
This is personal atack, pitia hizi;We jamaa unapenda kutetea ushoga we ni shoga?
Hawakusema hivyo, ila sisi tumeaminishwa kuwa walisema hivyoWazungu/ Wakoloni walisema tamaduni zetu niza kishenzi. Unafikiri sababu ni ipi wakoloni kusema hivyo.?
Nani alituminisha hivyo na kwa lengo gani?Hawakusema hivyo, ila sisi tumeaminishwa kuwa walisema hivyo
Ukeketaji, wake wengi, imani potofu, nk ni ushenzi mkubwa!Wazungu/ Wakoloni walisema tamaduni zetu niza kishenzi ndio maana
mpaka leo watu wengi hatupendi sana tamaduni zetu za asili mfano
lugha, majina, goma na kadhalika. Unafikiri sababu ni ipi wakoloni kusema
hivyo.?
Mzee kuoa mtoto mdogo, kurithi wajane nakadhalika.Ukeketaji, wake wengi, imani potofu, nk ni ushenzi mkubwa!
Sisi ni washenzi kweli.Wazungu/ Wakoloni walisema tamaduni zetu niza kishenzi ndio maana
mpaka leo watu wengi hatupendi sana tamaduni zetu za asili mfano
lugha, majina, goma na kadhalika. Unafikiri sababu ni ipi wakoloni kusema
hivyo.?