Hivi kwanini Wakoloni walisema utamaduni wetu wa Afrika ni Wakishenzi?

Hivi kwanini Wakoloni walisema utamaduni wetu wa Afrika ni Wakishenzi?

Wazungu/ Wakoloni walisema tamaduni zetu niza kishenzi ndio maana
mpaka leo watu wengi hatupendi sana tamaduni zetu za asili mfano

lugha, majina, goma na kadhalika. Unafikiri sababu ni ipi wakoloni kusema
hivyo.?
Kwasababu wanajua kabisa baada ya kuupokea utamaduni wao, tutaukataa utamaduni wetu. Na "mkataa kwao ni mtumwa." huoni tunavyohangaika kupondeana kisa hatujui kizungu wakati Urusi hata Rais wao huwezi kumkuta anaongeq kingereza japo najua kabisa anaifahamu hiyo lugha
 
Back
Top Bottom