Kumbe humo... utakua kibonge sana wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba nikutembelee korona ikiishaYaani mkuu mkombozi wangu kuruka kamba.
Lakini nisipokula acha kabisaaaaa namkaribia asha boko.
Eating good is my hobbie.
Kuna siku mtu alinikuta napika wale dagaa wa Mwanza akasema hawa dagaa au maini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Achana kabisaaaa na kitu kinachotoka humo.Ndio maana chakulabya msibani au kwenye sherehe za kienyeji ni mtamu
Sent using Jamii Forums mobile app
We mama wewe hahahaha una hatariAchana kabisaaaa na kitu kinachotoka humo.
Wanaita masufuria ya shaba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1425595
Naomba nikutembelee korona ikiisha
Nipo karantini ufukweniWewe sema uko wapi nikuketee biriani ijumaa.
Huwa nadelivery ijumaa biriani maofisini walau kuanzia sahani 5 kwa ofisi.
Jumapili pia kwa order
Nipo karantini ufukweni
Hahahaha koona in kigogoz voice[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Quarantine
Hii iko kisaikolojia. Wali wa rice cooker ni mtamu balaa na unaukoko mlaini kinoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiporo cha wali maharage ya nazi mmmmmh ila kinakuaga kitamu nikila kwa mama ake Culture tu, sijui kwanini,Sijawahi kuona utamu wa kiporo cha wali mkuu.
Kiukweli nakulaga basi tu nikiwa sina option au nikiona hakuna mlaji.
Rafiki kuni ni changamoto sijawahi kuexperience kwa kupika ila i can imagine mateso yake,Nami pia ndo nachokiona hiko.
Lakini kwa karne hii matumizi ya kuni nia adhabu sana kuzipata hizo kuni na pia ile harufu ya Moshi ukijumlisha na macho kutoa machozi mhhhh.
Last Christmas nilipika biriani kwenye kuni.
Haloooo moto wa kuni nao ni mkali tu kama gas ila niliipata pata.
Lakini biriani ilitoka poa sana.
Sasa kwa sotojo hilo utakosaje kulipenda [emoji1787]Rafiki kuni ni changamoto sijawahi kuexperience kwa kupika ila i can imagine mateso yake,
Biriani [emoji39][emoji39]
Btw sijawahi kulipenda Birian la Kihindi naona kama wabongo tunapatia sana ivii.
Kuni ni changamoto sana aiseee.
Hasa ukiwa huna jiko la kisasa la kuni.
Ile kupikia na mafiga nje kwenye mchanga.
Nimeexpeience lakini ni shughuli aiseee.
Biriani la kihindi wana upishi wao wanachanganya humo humo wali na nyama.
Sisi tunapika tofauti.
La kwetu ni hili Sasa kwa sotojo hilo utakosaje kulipenda [emoji1787]View attachment 1425747
Wasalaam,
Mimi bwana huwa napikia wali kwenye Rice Cooker lakini juzi nimeenda kumtembelea dada moja ni Mzenji wali wake kwenye mkaa na wakati unapikwa nikasikia harufu ile nzuri nzuri kabisa na wali wake ulivyotoka aisee niliona kabisa utofauti na ule wa Jiko la mzungu. Sasa wadau ili wali uwe vizuri ni lazima nifanye mabadiriko au mimi ndiyo sijui kupika ???
sababu unakua na njaa sanaUnajua hiki kitu me pia sijawahi kuelewa... kwann wali wa msibani unakuaga mtamu sana kuliko hata wali wa harusini?? LoL.
Nimemtembelea Aroma of Zanzibar leo nimeona aliweka pishi la Mandi, sikujua kama ni rahisi kupika vile,Kuni ni changamoto sana aiseee.
Hasa ukiwa huna jiko la kisasa la kuni.
Ile kupikia na mafiga nje kwenye mchanga.
Nimeexpeience lakini ni shughuli aiseee.
Biriani la kihindi wana upishi wao wanachanganya humo humo wali na nyama.
Sisi tunapika tofauti.
La kwetu ni hili Sasa kwa sotojo hilo utakosaje kulipenda [emoji1787]View attachment 1425747