amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Yaani mkuu mkombozi wangu kuruka kamba.
Lakini nisipokula acha kabisaaaaa namkaribia asha boko.
Eating good is my hobbie.
Kuna siku mtu alinikuta napika wale dagaa wa Mwanza akasema hawa dagaa au maini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini nisipokula acha kabisaaaaa namkaribia asha boko.
Eating good is my hobbie.
Kuna siku mtu alinikuta napika wale dagaa wa Mwanza akasema hawa dagaa au maini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe humo... utakua kibonge sana wewe [emoji23][emoji23][emoji23]