Hivi kwanini wanaonunua nyama robo wanafungiwa kwenye gazeti?

Hivi kwanini wanaonunua nyama robo wanafungiwa kwenye gazeti?

Wakishua mmekulia masaki,

Hata nusu inatosha nn ? zaidi ni uridhike,

Maake nyama nusu hapa dsm na mifupa yao sioni hata unafuu! Bora kitimoto tuu
 
Back
Top Bottom