bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
huendani na haya mambo kabisa.
yapi hayo dada angu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huendani na haya mambo kabisa.
yapi hayo dada angu?
:closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2:Hilo sio tatizo,yawezekana kama unavyosema kila mtu anajua amekudefine vipi humu ndani!tuachane na hayo anyway.........!turudi kwenye topic
ee bwana twende kule kwen jukwaa letu kule.....
Hivi mlifikia huku? Kwa hiyo mmekonkludi nini?:llama::llama::llama:
Kweli Juma Nature ndio zake,si unaona roho ilivyomuuma juu ya Sinta!!!NATURe
hilo nalo neno....hehehehe!
jamani habarini za asubuhi!
unajua huku australia ndo kwaaanza kumekucha.....!
mi nina swali moja tu wakuuu!
KWA HIYO MUMEAMUAJE?....bacha ni she (kama ninavyomfahamu) au ni HE kama mnavyomfahamu ninyi?
nawasilisha!..nitarudi jamani:llama:
naona wote mnaongea lugha moja hapa:hehehehe!
jamani habarini za asubuhi!
unajua huku australia ndo kwaaanza kumekucha.....!
mi nina swali moja tu wakuuu!
KWA HIYO MUMEAMUAJE?....bacha ni she (kama ninavyomfahamu) au ni HE kama mnavyomfahamu ninyi?
nawasilisha!..nitarudi jamani:llama:
KONYAGI NDOGO MBILI.....!jikoni unaagiza CHIPSI MAYAI:biggrin1::biggrin1::biggrin1:Bia Moja, Supu ya nini.
hilo nalo neno....
Bia Moja, Supu ya nini.
Na nyie pia mnaimba wimbo mmoja:
IT TAKES A SEC TO SAY I LOVE U, BUT A LIFETIME TO SHOW IT......
The one who loves the least, controls the relationship.
Yote Heri!
KONYAGI NDOGO MBILI.....!jikoni unaagiza CHIPSI MAYAI:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
YOUR FRIEND HAS GOT A FRIEND.......!SO,tell NO LIES little secretsnaona wote mnaongea lugha moja hapa:
''KNOWLEDGE IS POWER''
THE KING!
Bia moja supu ya nini?
Unywaji (hasa wa bia) hauhitaji meno, hata kibogoyo anakunywa!!
I better befriend judges than wasting time and energy to know the law.
Babu vingine havichunguliwagi....utapofuka macho lol