Hivi kwanini wanaume tunapogundua huwa moyo unataka kuchomoka?

Hivi kwanini wanaume tunapogundua huwa moyo unataka kuchomoka?

Hilo sio tatizo,yawezekana kama unavyosema kila mtu anajua amekudefine vipi humu ndani!tuachane na hayo anyway.........!turudi kwenye topic
:closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2::closed_2:
 
Hivi mlifikia huku? Kwa hiyo mmekonkludi nini?:llama::llama::llama:
 
Mpwa nasikia jinsia zinachakachuliwa

Nani amechakachua jinsia? katoa baioloji ya kiume akaweka ya kike? Duh ntampa pole nyingi...ila kama ya katoa ya kike akaweka ya kiume nampa
 
Nani amechakachua jinsia? katoa baioloji ya kiume akaweka ya kike? Duh ntampa pole nyingi...ila kama ya katoa ya kike akaweka ya kiume nampa

:lol::lol::lol::lol::lol::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows::eyebrows:
 
hehehehe!
jamani habarini za asubuhi!
unajua huku australia ndo kwaaanza kumekucha.....!

mi nina swali moja tu wakuuu!

KWA HIYO MUMEAMUAJE?....bacha ni she (kama ninavyomfahamu) au ni HE kama mnavyomfahamu ninyi?

nawasilisha!..nitarudi jamani:llama:
 
hehehehe!
jamani habarini za asubuhi!
unajua huku australia ndo kwaaanza kumekucha.....!

mi nina swali moja tu wakuuu!

KWA HIYO MUMEAMUAJE?....bacha ni she (kama ninavyomfahamu) au ni HE kama mnavyomfahamu ninyi?

nawasilisha!..nitarudi jamani:llama:
hilo nalo neno....
 
hehehehe!
jamani habarini za asubuhi!
unajua huku australia ndo kwaaanza kumekucha.....!

mi nina swali moja tu wakuuu!

KWA HIYO MUMEAMUAJE?....bacha ni she (kama ninavyomfahamu) au ni HE kama mnavyomfahamu ninyi?

nawasilisha!..nitarudi jamani:llama:
naona wote mnaongea lugha moja hapa:

''KNOWLEDGE IS POWER''
THE KING!

Bia moja supu ya nini?

Unywaji (hasa wa bia) hauhitaji meno, hata kibogoyo anakunywa!!

I better befriend judges than wasting time and energy to know the law.
 
Na nyie pia mnaimba wimbo mmoja:

IT TAKES A SEC TO SAY I LOVE U, BUT A LIFETIME TO SHOW IT......

The one who loves the least, controls the relationship.

Yote Heri!

Babu vingine havichunguliwagi....utapofuka macho lol
 
naona wote mnaongea lugha moja hapa:

''KNOWLEDGE IS POWER''
THE KING!

Bia moja supu ya nini?

Unywaji (hasa wa bia) hauhitaji meno, hata kibogoyo anakunywa!!

I better befriend judges than wasting time and energy to know the law.
YOUR FRIEND HAS GOT A FRIEND.......!SO,tell NO LIES little secrets
 
Back
Top Bottom