Hivi kwanini wanaume wengi wana lips nzuri kuliko wanawake?

Hivi kwanini wanaume wengi wana lips nzuri kuliko wanawake?

Sio Kweli.
BENZ.jpg
 
Hivi kwanini wanaume walio wengi sio wote wako na lips nzuri kulinganisha na wanawake. Lips za wanawake ni za kawaida sana ila wanaume wanakuwaga na lips nzuri zinavutia sana mpaka mtu unazitamani. Kwanini wanaume wamepewa lips nzuri kuliko wanawake? Mimi naona kawaida wanawake ndio walitakiwa wawe na lips nzuri lakini iko tofauti. Kwanini?
Au mkuu unanisema mim nini?[emoji38]


jokes.
 
wanaume hatutumii lips stick,zingine ni mbaya sana,zinaharibu lips,sisi tunatumia dawa ya meno tu
 
Hivi kwanini wanaume walio wengi sio wote wako na lips nzuri kulinganisha na wanawake. Lips za wanawake ni za kawaida sana ila wanaume wanakuwaga na lips nzuri zinavutia sana mpaka mtu unazitamani. Kwanini wanaume wamepewa lips nzuri kuliko wanawake? Mimi naona kawaida wanawake ndio walitakiwa wawe na lips nzuri lakini iko tofauti. Kwanini?
kama ni mwanamke uko sawa, kama wewe ni mwanaume wewe ni shoga100%
 
Mtoa post unaweza kuwa sawa ila kama ni MWANAUME asi nina mashaka nawe manake huwezi tamani lips za wa kiume wenzio
 
Hivi kwanini wanaume walio wengi sio wote wako na lips nzuri kulinganisha na wanawake. Lips za wanawake ni za kawaida sana ila wanaume wanakuwaga na lips nzuri zinavutia sana mpaka mtu unazitamani. Kwanini wanaume wamepewa lips nzuri kuliko wanawake? Mimi naona kawaida wanawake ndio walitakiwa wawe na lips nzuri lakini iko tofauti. Kwanini?
umba wa kwako afu uwape lips unazotaka
 
Inaeza ikawa kweli ..jambo zuri kuzingatia ni lips za kiume. Hazipigwi lipstiki wala lips wanja. Wala Nene yani. A man is a man and he is always smart and Natural.... .kuhusu kuwa na uwezo wa Kukiss ni jitihada binafsi za MTU. Ila kuna changamoto sometime pale mnapokutana Me .una ka mdomo na ke ana midomo. Au kifupi jitathmini aina ya mdomo wako na wa mupenzii wako. Isipishane sana ukubwa.
IMG_20190915_153653_865.jpeg
FB_IMG_15680536049755684.jpeg
FB_IMG_15680511503688382.jpeg
 
Hivi kwanini wanaume walio wengi sio wote wako na lips nzuri kulinganisha na wanawake. Lips za wanawake ni za kawaida sana ila wanaume wanakuwaga na lips nzuri zinavutia sana mpaka mtu unazitamani. Kwanini wanaume wamepewa lips nzuri kuliko wanawake? Mimi naona kawaida wanawake ndio walitakiwa wawe na lips nzuri lakini iko tofauti. Kwanini?
mimi naona wanawake ndo huwa wana lipsi nzuri,tena laini sana.
 
Back
Top Bottom