takwimu zinazosema 100% ya wanawake wa dar wanajichubua ziko wapi?kila mwanamke unaekutana nae anatumia mkorogo.
Walifanyie tu kazi serikali yetu haina baya 😂Kwa sababu serikali ya hii nchi ni yenye kudeal na maswala ya kijinga kijinga, basi inawezekana kabisa hili ombi lako likafanyiwa kazi, 😑
Takwimu ziko maktaba kazifate hukotakwimu zinazosema 100% ya wanawake wa dar wanajichubua ziko wapi?
Hakika 😂Walifanyie tu kazi serikali yetu haina baya 😂
Madhara ya jua hawayajui watajionea vipi huruma?
mpaka wanajichubua
Watu wa daslama hawaoni joto ndo mana unaweza kuona nje kunasoma 35°C alaf mtu katinga koti la baridi kama yupo yuropa vile!!Na joto lile?
Wikiendi iliyoisha nilikuwa kwenye jiji lenye fujo daslam. Hili jiji kila mwanamke unaekutana nae anatumia mkorogo.
Alaf wanatumia mikorogo bila kutumia sunscreen matokeo yake wanakuwa wekundu kama kitimoto.
Daslam kwasasa ukikutana na mwanamke mweusi ujue una bahati.
Naiomba serikali iwalinde wanawake weusi kwa namna yoyote ila maana wako njiani kutoweka hapo daslam. Vilevile serikali ipige marufuku mikorogo kuuzwa na kuingia nchini.
Kwani mwanamke ni bidhaa?labda soko la wanawake weupe lipo juu
wenyew wanasema je
HapanaKwani mwanamke ni bidhaa?
na kuna muhuni anaishi hapoUkute kavaa na wigi halijaoshwa wiki mbili + harufu ya ngozi iliyokobolewa unaweza uzimie.