Hivi kwanini wanawake wa “Daslamu” wanajichubua sana?

Hivi kwanini wanawake wa “Daslamu” wanajichubua sana?

Wikiendi iliyoisha nilikuwa kwenye jiji lenye fujo daslam. Hili jiji kila mwanamke unaekutana nae anatumia mkorogo.

Alaf wanatumia mikorogo bila kutumia sunscreen matokeo yake wanakuwa wekundu kama kitimoto.

Daslam kwasasa ukikutana na mwanamke mweusi ujue una bahati.

Naiomba serikali iwalinde wanawake weusi kwa namna yoyote ila maana wako njiani kutoweka hapo daslam. Vilevile serikali ipige marufuku mikorogo kuuzwa na kuingia nchini.
Mbona mbuga za wanyama ziko nyingi, na binadamu weusi unao wataka utawakuta kule.
 
Wikiendi iliyoisha nilikuwa kwenye jiji lenye fujo daslam. Hili jiji kila mwanamke unaekutana nae anatumia mkorogo.

Alaf wanatumia mikorogo bila kutumia sunscreen matokeo yake wanakuwa wekundu kama kitimoto.

Daslam kwasasa ukikutana na mwanamke mweusi ujue una bahati.

Naiomba serikali iwalinde wanawake weusi kwa namna yoyote ila maana wako njiani kutoweka hapo daslam. Vilevile serikali ipige marufuku mikorogo kuuzwa na kuingia nchini.
Mahitaji ya soko
 
Hasa wilaya ya Temeke na viunga vyake hususani mbagala na buza...wanaona kujichubua ndio urembo. Halafu sijui wanavumiliaje harufu ya vile vipodozi vikali.
 
Haruuuu usitupakazie madame zetu......huko huko kwenu kwenye club 1245!
😂😂 Ukimsifia "shoga angu umeng'aa "
Utasikia Kuna losheni natumia alfu tano nimenunua kizuiani 😂
Kuna mtaalamu wao wa kuchanganya vipodozi anapatikana kizuiani.
Hatari huyo bwana
 
Kadri uelewa wa kujitambua unavyokuwa mdogo ndivyo na nafasi ya kujichubua inakuwa kubwa.
 
Back
Top Bottom