Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Mbona mbuga za wanyama ziko nyingi, na binadamu weusi unao wataka utawakuta kule.Wikiendi iliyoisha nilikuwa kwenye jiji lenye fujo daslam. Hili jiji kila mwanamke unaekutana nae anatumia mkorogo.
Alaf wanatumia mikorogo bila kutumia sunscreen matokeo yake wanakuwa wekundu kama kitimoto.
Daslam kwasasa ukikutana na mwanamke mweusi ujue una bahati.
Naiomba serikali iwalinde wanawake weusi kwa namna yoyote ila maana wako njiani kutoweka hapo daslam. Vilevile serikali ipige marufuku mikorogo kuuzwa na kuingia nchini.
Mahitaji ya sokoWikiendi iliyoisha nilikuwa kwenye jiji lenye fujo daslam. Hili jiji kila mwanamke unaekutana nae anatumia mkorogo.
Alaf wanatumia mikorogo bila kutumia sunscreen matokeo yake wanakuwa wekundu kama kitimoto.
Daslam kwasasa ukikutana na mwanamke mweusi ujue una bahati.
Naiomba serikali iwalinde wanawake weusi kwa namna yoyote ila maana wako njiani kutoweka hapo daslam. Vilevile serikali ipige marufuku mikorogo kuuzwa na kuingia nchini.
Hamna kitu kama ikoIla Wanawake wa Dsm sikuhizi wanajitahidi kupendeza,safi kabisa.
Haruuuu usitupakazie madame zetu......huko huko kwenu kwenye club 1245!Hasa wilaya ya Temeke na viunga vyake hususani mbagala na buza...wanaona kujichubua ndio urembo. Halafu sijui wanavumiliaje harufu ya vile vipodozi vikali.
Upande nae daladala iliyozaja ukae nae karibu utaomba ushuke kabla ya hujafika!Ukute kavaa na wigi halijaoshwa wiki mbili + harufu ya ngozi iliyokobolewa unaweza uzimie.
Ndo mana wanajichubua?Jua kali
Hatari sanaKule dar c wadadaa tu wanajichubua niliwaona Hadi wanaume Wana jichubua na kuvaa vikaptula km boksa na wanatembea barabaran na hawajali kbs jmn ..nililia sana
😂😂 Ukimsifia "shoga angu umeng'aa "Haruuuu usitupakazie madame zetu......huko huko kwenu kwenye club 1245!
Wahuni hawahisi harufu mbaya nadhani 😃na kuna muhuni anaishi hapo
wahuni sio watu wazuri
Umepanic??Haruuuu usitupakazie madame zetu......huko huko kwenu kwenye club 1245!
Nakutafuta kama pesalabda soko la wanawake weupe lipo juu
wenyew wanasema je
Eeee usiniambie kunaniNakutafuta kama pesa