Hivi kwanini wanawake wa kitanzania wanapenda kutoka kimapenzi na watu wanaofanya kazi hizi?

Wanawake wengi wakiona umependeza tuu na unafanya kazi hizo sehemu tajwa hapo juu, hata kama take home ni 700k, wao wanakuona ni wa maana sana, ikitokea ukawa na ka gari kako hapo umewamaliza, Yani kila baada ya mwezi utakua unaenda kuchukua doze ya UTI
 
Yaani hyo list uliyoiweka unajifaninisha nao kweli wewe mtu wa sales and marketing are you serious.
Una gari ww?
Nyumba yako?
Familia?
Au ndio kazi mademu tu kijana
Ukiwa sales kupata gari nyumba na familia sio kazi ...........hivyo huwa vinakuja automatically..........ila inategemea unafanya sales ya kwenye jambo gani??...........
 
Kazi ni kazi unayoidharau mwenzako inamfanya aishi. Utakuwa na shida sio bure.
Na mimi sijadhamdhara, kama gari anayo, ana familia, na yeye ni mtu wa sales, mademu wa nn? Tatizo linaanza hapo, shida wengi wenu, hata kada yenu hamuifahamu mnaichukulia poa.
Nimefanya sales 15 years, kabla sijaamua kwenda mbele ya safari.
 
Ukiwa sales kupata gari nyumba na familia sio kazi ...........hivyo huwa vinakuja automatically..........ila inategemea unafanya sales ya kwenye jambo gani??...........
Yes naelewa ndio maana nimemuuliza hvo vtu anavyo. Na kama anavyo, mademu yeye wa nn, wakukaa nae siku moja na wanamuacham ana shida pahali.
 
Unamkumbua yule afisa uvuvi wa Mtera kule Dodoma aliyepelekea Pisikali amkabidhi bodaboda alale na mtoto wake ili yeye akale bata na afisa uvuvu wa magege na makambale ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…