Hivi kwanini wasomi wa Tanzania wanaamini kuajiriwa ni Serikalini tu?

Hivi kwanini wasomi wa Tanzania wanaamini kuajiriwa ni Serikalini tu?

Hii ni kweli, Nina classmate wangu alikua anafundisha Private anakula 900k take home, akaomba ajira za serikali akapata bila kujiuliza akaenda,
Nikijana kabisa 28 yrs anakimbilia serikalini, kuanza kuwaza kiinua mgongo na vijisababi vingine vya kijinga Eti security.
Asikudanganye mtu ndugu yangu serikalini patamuuu haswa haswa !!! Sector binafsi ni shida tupu tupu tupu uliza uambiwe !!! Serikalin pesa ni ya uhakika kuliko sector binafsi!!! Serikalini walim walio fundisha muda wako juuu sana mshahara mfano aliyefundisha 10 years plus anaongelea G ambaya nafikiri itakya 1600,000/ per month !!! Nani sekta binafsi atakulipa hiyo!??
Watu wanakopa benk mpaka 40,000,000/ wapi sector binafsi ataruhusi hiyo!?? Bima za afya kwa familia nk !!! Watu wanapigwa kiinua mgongo mpaka 150,000,000/
Na bado monthly pension 800,000/ kila mwezi mpaka ufe na kutibiwa bure mpaka ufe!!! Nani mwenye akili atakataa hilo!!??
Private ni mavi takataka asikwambie mtu !!! Uliza private gani inaweza lipa mwalimu hata 1200,000!?? Zipo ngapi!!???
 
Hili tatizo lipo sana hata mimi ni muanga. Nilikuwa shule binafsi,ninalipwa vizuri tu na ofa kibao kama nyumba na kutolipa bills, tukiwa huko taasisi binafsi tunadanganyana sana eti serikalini kuna security na kusahau kinachomata maishani ni kuishi vizuri. Sasa hivi nipo serikalini nimeshafanana mchimba chumvi. Watu wengi wapo sekta binafsi lakini wanajiona hawana ajira mpaka waajiriwe na serikali.
Nenda ukaulize kama hizo ofa zipo tena ndugu hali ni mbaya private schools asikudanganye mtu
 
Mimi nilimaliza chuo 2000 nikavimba kichwa nikaenda private sector kufika 2014 nilikimbilia serikalin baada ya kuona ubabaishaji sector binafsi!!? Kwa kifupi najuta wenzangu walioingia gvt wanazungumzia mshahara wa 1.8/m mm ndo kwanza naongelea 960,000/ yani najuuuuuuuta !!! Ni nani sekta binafsi anaweza lipa mtu wa diplama hivyo!?? Mnaongea msicho kijua
 
Niko sector binafsi mwaka wa 9 huu ila sio kwenye ualimu, na wala sijawahi kujitoa kwakweli. Naona maisha yangu yako Safi na kama ni salary inapanda hata enzi zile serikali haipandishi kwa wafanyakazi wake.
Benefits zipo nyingi tu, km bima ya afya, housing allowance, air time allowance, staff development, promotions za hapa na pale, mwajiri katufanyia mambo ukitaka kukopa anakuwa mdhamini wake, napata social security fund
So, inategemea kwakweli. Sio sekta binafsi zote Ni majanga.
 
Kuna tatizo sana kwa watanzania wasomi kuamini kuaijiriwa mpaka upate kazi serikalini. Hii mindset tunaweza kuiondoaje kwa wasomi? Mfano hai ni kwenye hizi ajira za walimu na wafanyakazi afya idadi kubwa imejitokeza kuomba ajira hizo na kupelekea kuonesha kuwa hapa Tanzania kuna tatizo kubwa la ajira kwenye hizo kada kitu ambacho si kweli.

Mimi binafasi kuna jamaa zangu watano wameajiriwa shule binafsi na wengine wana maendeleo mazuri tu mpaka kujenga lakini kila ajira zikitangazwa wanakimbizana kuomba serikalini na kuwaaribia wengine ambao hawajapata pa kujishikiza,kuna mmoja nilimpigia nikamwambia kabisa usithubutu hata kidogo kutoka hapo kibaruani ulipo eti unakuja serikalini utajutia sna,maendeleo aliyonayo mimi niliyepo serikalini hata robo simfikii lakini wazazi wake wanamshinikiza aombe serikalini kila mara. Kuna jamaa wengine tunaofahamiana wapo hospitali binafsi na wana maisha mazuri lakini na wao wana hiyo mindset.

Ushauri kwa serikali. Iandae mpango kazi wa urasimishaji ajira kwenye sekta binafsi na mashirika pamoja na waliopo serikalini. Kwa uchunguzi wangu unaonesha kuwa hawa wafanyakazi waliopo sekta binafsi hawatambuliki popote hata kodi hawalipi lakini wapo wengi sana walioajiriwa sekta binafsi. Mwenye takwimu sahihi ya idadi ya mashule na vituo vya afya binafsi alete hapa uone idadi yao ilivyokubwa na bado shule na hospitali zinaongezeka kila mwaka lakini bado watu wanasema hakuna ajira. Mtu kuajiriwa sekta binafsi anajiona kama vile amejishikiza huku akiwainda kuingia serikalini.

Ushauri mwingine kwa serikali, izidi kuwabana hawa wamiliki wa hizo taasisi binafsi wahakikishe wakitimiza mahitaji yanatakiwa kwa muajiriwa kama bima,mkataba mzuri na usalama kazini.
Wapinzani ndiyo wanawapoteza vijana kwa kuwajaza huu upuuzi ili waichukie serikali iliyo madarakani. Cc Erythrocyte
 
Kuna tatizo sana kwa watanzania wasomi kuamini kuaijiriwa mpaka upate kazi serikalini. Hii mindset tunaweza kuiondoaje kwa wasomi? Mfano hai ni kwenye hizi ajira za walimu na wafanyakazi afya idadi kubwa imejitokeza kuomba ajira hizo na kupelekea kuonesha kuwa hapa Tanzania kuna tatizo kubwa la ajira kwenye hizo kada kitu ambacho si kweli.

Mimi binafasi kuna jamaa zangu watano wameajiriwa shule binafsi na wengine wana maendeleo mazuri tu mpaka kujenga lakini kila ajira zikitangazwa wanakimbizana kuomba serikalini na kuwaaribia wengine ambao hawajapata pa kujishikiza,kuna mmoja nilimpigia nikamwambia kabisa usithubutu hata kidogo kutoka hapo kibaruani ulipo eti unakuja serikalini utajutia sna,maendeleo aliyonayo mimi niliyepo serikalini hata robo simfikii lakini wazazi wake wanamshinikiza aombe serikalini kila mara. Kuna jamaa wengine tunaofahamiana wapo hospitali binafsi na wana maisha mazuri lakini na wao wana hiyo mindset.

Ushauri kwa serikali. Iandae mpango kazi wa urasimishaji ajira kwenye sekta binafsi na mashirika pamoja na waliopo serikalini. Kwa uchunguzi wangu unaonesha kuwa hawa wafanyakazi waliopo sekta binafsi hawatambuliki popote hata kodi hawalipi lakini wapo wengi sana walioajiriwa sekta binafsi. Mwenye takwimu sahihi ya idadi ya mashule na vituo vya afya binafsi alete hapa uone idadi yao ilivyokubwa na bado shule na hospitali zinaongezeka kila mwaka lakini bado watu wanasema hakuna ajira. Mtu kuajiriwa sekta binafsi anajiona kama vile amejishikiza huku akiwainda kuingia serikalini.

Ushauri mwingine kwa serikali, izidi kuwabana hawa wamiliki wa hizo taasisi binafsi wahakikishe wakitimiza mahitaji yanatakiwa kwa muajiriwa kama bima,mkataba mzuri na usalama kazini.

Wengi kinachotupeleka serikalini ni opportunities za kuiba. Mtu akikwambia Kitu kingine ni muongo huyo.
 
Hili tatizo lipo sana hata mimi ni muanga. Nilikuwa shule binafsi,ninalipwa vizuri tu na ofa kibao kama nyumba na kutolipa bills, tukiwa huko taasisi binafsi tunadanganyana sana eti serikalini kuna security na kusahau kinachomata maishani ni kuishi vizuri. Sasa hivi nipo serikalini nimeshafanana mchimba chumvi. Watu wengi wapo sekta binafsi lakini wanajiona hawana ajira mpaka waajiriwe na serikali.
Serikalini hamna kufukuzana kama unafukuza malaya ndani kwako! Ila sekta binafsi hutegemea na boss kaamka na kisirani kiasi gani!

Benefits ni nyingi serikalini kwa title ya mtumishi wa umma kuna privilege kibao wala huwezi compare!
 
Niko sector binafsi mwaka wa 9 huu ila sio kwenye ualimu, na wala sijawahi kujitoa kwakweli. Naona maisha yangu yako Safi na kama ni salary inapanda hata enzi zile serikali haipandishi kwa wafanyakazi wake.
Benefits zipo nyingi tu, km bima ya afya, housing allowance, air time allowance, staff development, promotions za hapa na pale, mwajiri katufanyia mambo ukitaka kukopa anakuwa mdhamini wake, napata social security fund
So, inategemea kwakweli. Sio sekta binafsi zote Ni majanga.
Kumbe unakubali kuwa private nyingi ni majanga!
Asante kwa kushiriki
 
Kuna tatizo sana kwa watanzania wasomi kuamini kuaijiriwa mpaka upate kazi serikalini. Hii mindset tunaweza kuiondoaje kwa wasomi? Mfano hai ni kwenye hizi ajira za walimu na wafanyakazi afya idadi kubwa imejitokeza kuomba ajira hizo na kupelekea kuonesha kuwa hapa Tanzania kuna tatizo kubwa la ajira kwenye hizo kada kitu ambacho si kweli.

Mimi binafasi kuna jamaa zangu watano wameajiriwa shule binafsi na wengine wana maendeleo mazuri tu mpaka kujenga lakini kila ajira zikitangazwa wanakimbizana kuomba serikalini na kuwaaribia wengine ambao hawajapata pa kujishikiza,kuna mmoja nilimpigia nikamwambia kabisa usithubutu hata kidogo kutoka hapo kibaruani ulipo eti unakuja serikalini utajutia sna,maendeleo aliyonayo mimi niliyepo serikalini hata robo simfikii lakini wazazi wake wanamshinikiza aombe serikalini kila mara. Kuna jamaa wengine tunaofahamiana wapo hospitali binafsi na wana maisha mazuri lakini na wao wana hiyo mindset.

Ushauri kwa serikali. Iandae mpango kazi wa urasimishaji ajira kwenye sekta binafsi na mashirika pamoja na waliopo serikalini. Kwa uchunguzi wangu unaonesha kuwa hawa wafanyakazi waliopo sekta binafsi hawatambuliki popote hata kodi hawalipi lakini wapo wengi sana walioajiriwa sekta binafsi. Mwenye takwimu sahihi ya idadi ya mashule na vituo vya afya binafsi alete hapa uone idadi yao ilivyokubwa na bado shule na hospitali zinaongezeka kila mwaka lakini bado watu wanasema hakuna ajira. Mtu kuajiriwa sekta binafsi anajiona kama vile amejishikiza huku akiwainda kuingia serikalini.

Ushauri mwingine kwa serikali, izidi kuwabana hawa wamiliki wa hizo taasisi binafsi wahakikishe wakitimiza mahitaji yanatakiwa kwa muajiriwa kama bima,mkataba mzuri na usalama kazini.
Nadhani ungeulaumu Kwanza Mtaala wa Elimu wa Tanzania ambao unauandaa Ubongo wa Msomi wa Kitanzania kuwa Tegemezi, asiyejiamini na hata Kujielewa pia tofauti na Mitaala ya Elimu ya Mataifa mengine ambayo humuandaa Candidate kuwa Pro Active and Creative hadi hata kuweza Kujiajiri Mwenyewe.
 
Ungeonesha mfano kwanza wewe mtoa mada!
Wewe uko serikali hutaki kuacha kazi serikalini halafu unawaaminisha wengine kuwa hapo ulipo serikalini ni pabaya kuliko upande wa binafsi!
Unaambiwa uache kazi uoneshe mfano unasema eti ...
"NIKIPATA KAZI PRIVATE NAACHA KAZI YA SERIKALINI"____

Wewe hapo upo kwenye ajira tayari kwa kipindi fulani na angalau umepokea vihela kadhaa LAKINI hujiamini kama unaweza kukaa bila ajira katika kipindi ambacho utakuwa huna kazi unatafuta sehemu ya kupigia kazi ...
Halafu unamwambia kijana ambaye hana ajira amepambana kutafuta ajira kwa miaka kadhaa mfano 3++ bila mafanikio kuwa ajira zipo nyingi private na kuwaambia wasitamani kuja serikalini!

..Hujui unachoongea mkuu,, wahenga husema kitanda usichokilalia hujui kunguni wake...
.

Kama kweli unaamini katika mantiki ya mada yako basi fanya hivi:-
Acha kazi, baki bila ajira halafu ungana na watafuta ajira katika sekta binafsi! Halafu rudi hapa kuja kuandika tena.
Hapo ndipo tutaelewana vizuri
 
Nadhani ungeulaumu Kwanza Mtaala wa Elimu wa Tanzania ambao unauandaa Ubongo wa Msomi wa Kitanzania kuwa Tegemezi, asiyejiamini na hata Kujielewa pia tofauti na Mitaala ya Elimu ya Mataifa mengine ambayo humuandaa Candidate kuwa Pro Active and Creative hadi hata kuweza Kujiajiri Mwenyewe.
Mada haihusu kujiajiri wee jamaa
 
Asikudanganye mtu ndugu yangu serikalini patamuuu haswa haswa !!! Sector binafsi ni shida tupu tupu tupu uliza uambiwe !!! Serikalin pesa ni ya uhakika kuliko sector binafsi!!! Serikalini walim walio fundisha muda wako juuu sana mshahara mfano aliyefundisha 10 years plus anaongelea G ambaya nafikiri itakya 1600,000/ per month !!! Nani sekta binafsi atakulipa hiyo!??
Watu wanakopa benk mpaka 40,000,000/ wapi sector binafsi ataruhusi hiyo!?? Bima za afya kwa familia nk !!! Watu wanapigwa kiinua mgongo mpaka 150,000,000/
Na bado monthly pension 800,000/ kila mwezi mpaka ufe na kutibiwa bure mpaka ufe!!! Nani mwenye akili atakataa hilo!!??
Private ni mavi takataka asikwambie mtu !!! Uliza private gani inaweza lipa mwalimu hata 1200,000!?? Zipo ngapi!!???
Ahsante sana Ndugu you said it all.Tangu Mwaka 2015 nilikuwa sector binafsi lakini yalionikuta nilijuta kwa nini nilikataa kwenda kureport ajira yangu serikalini mwaka 2017.

Nilifukuzwa kazi nikiwa nina week 2 kwenda kufunga Ndoa.

Sa hivi nipo Serikalini nina peace of mind japo mshahara sio wa kufanyia Anasa kwa kuwa ni kiduchu.
 
Watu ni wavivu kufanya kazi, sekta binafsi unapigika balaa, serikalini hata uwe mlevi wa kulewa siku nzima na kazi unafanya kwa kusuasua utaendelea kuwepo na mshahara pale pale. Hiyo ndo security ambayo wengi wanaitaka.
 
Back
Top Bottom