Ndivyo tulivyo
๐๐ Wazee wa matukioNina experience mbaya na watu wapole!
Ama kweli usione ukadhani!
Huwa wanajifanya kuwa wanaogopa kuumizwa lkn behnd the scene ni dracula!
Ushangao utakaoupata ukiyajua ya nyuma ya pazia yanaweza kuupa moyo wako ulemavu wa kudumu!
Be ware!
A word is eneogh for the wise!
๐คฃ๐คฃ๐คฃwanamatukio ya ajabu mnoo...unaweza bishana na malaika kwa kumtetea mtu mpoleWana matukio ya kibabe,kiasi kwamba ukionyeshwa aliyetenda unajiuliza mara mbilimbili ๐๐๐