Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Ni kweli Mkuu tena hii ina advantage sana mimi nilikopita wanawake wengi walinitunuku sababu kuu upole wangu, na ukiwa nae karibu anashangaa kweli anasema nilikuchukulia mtu wa kuringa sana kumbe ni tofauti uko mcheshi na wild sana. kati ya kumi, tisa hawawezi kuruka lazima waingie kingi tena wao ndo huanzisha indiketa za mahusiano ya kudumu sema changamoto inakuwa ngumu sababu ya kuwa too selective sana kupelekea mtu kuhisi humjali wala humpendi.Kingine ambacho hamfahamu kuhusu wapole na wakimya.. ni kwamba kwa sisi wanaume tunapenda sana wanawake, maana level ya hisia zetu ni kali sana..
Ila pia hatupendi kuonekana kama tunapenda wanawake, watu wanachukulia ukimya na upole wetu kama ni kuwa serious sana ila haipo hivo kila wakati
Umeweka sawa kabisa hapo.Kuna upole na ukimya...
Mtu mpole mara nyingi huwa na ukimya fulani Ila mtu mkimya anaweza asiwe mpole kwa kiasi kikubwa sana...
Ni kweli Mkuu tena hii ina advantage sana mimi nilikopita wanawake wengi walinitunuku sababu kuu upole wangu, na ukiwa nae karibu anashangaa kweli anasema nilikuchukulia mtu wa kuringa sana kumbe ni tofauti uko mcheshi na wild sana. kati ya kumi, tisa hawawezi kuruka lazima waingie kingi tena wao ndo huanzisha indiketa za mahusiano ya kudumu sema changamoto inakuwa ngumu sababu ya kuwa too selective sana kupelekea mtu kuhisi humjali wala humpendi.
Mimi sijawahi maliza miezi 2 na demu ,mke ni kwa vile ashakuwa mke nameza mate but demu anizingue kitu kidogo au Niko kwenye process ya kumuweka Kati akazingua hata kwa kauli huwa naachana nae mda huo huo hata kama alikula lakiWasalaam wakuu.
Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole, jinsia zote wa kike na wa kiume.
Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.
Je, hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.
Hebu tusaidiane hapa wakuu.
Tuko pamoja huwa ni kama moyo wa kisasi na hatuwezi mfuatilie demu eti mtu anatongoza weee utafikiri anasaka utajiriNi kama asili tu ya wapole kama mimi huwa wadada ninaodate nao wanasemaga sura yangu muonekano na moyo wangu ni vitu tofauti sana.
Sababu mimi ukinikorofisha nakuacha na huwa sina tabia ya kurudia, nikiacha nimeacha hata uje na magoti au unatambaa.
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kawaida kwa JF ... Members wa platform hii kila member ana gari .. Kila member hatumii tecno ..kila member ni muhitimu wa chuo kikuu and the likes
Wewe sio mpole ila ni mkimya sifa ya introvert ila kama uko pande zote kazi unayo.Mkuu mimi hulka yangu nimpole (highly introvert ) na ulichosema ni kweli kabisa kwa upande wangu. Nina Miaka 29 nahitaji kuoa ila ndo ivyo unapata bahati ya kuwa na wanana warembo ila mahusiano ayadumu . Nikiona tu tabia sizielew haimalizi ata 2 weeks .
Kuna wakati nafikiria kuzaa tu na mwanamke yoyote then Nilee mtoto ila naona hapana nahitaji kuwa family man. Labda nikutane na introvert mwenzangu tutaendana.
Dear future wife uko uliko ebu fanya fasta uje
Hususani ya kijamii,tabia ya kuwa selective na kutopenda kujichanganya ina shida zake ko anatakiwa mtu wa kuziba hilo gapMimi mwenyewe introvert mkuu haha!
Kiukweli introvert hafai kuwa na introvert mwenza mambo hayataenda.
We upo kundi gani?Kuna upole na ukimya...
Mtu mpole mara nyingi huwa na ukimya fulani Ila mtu mkimya anaweza asiwe mpole kwa kiasi kikubwa sana...
Kama wewe ni introvert hii hulka ni bora hata mm Niko hivyo ,nasema ni bora kwa sababu ya tabia ya kuwa too selective,kuona madhsifu kuliko mazuri na pia Hali ya kutokudumu kwenye mahusiano kwa kushindwa kuvumilia baadhi ya tabiaMimi pamoja na ukimya wangu ni penda penda, yaani kila nikimuona demu mzuri lazima nimtamani
Manageable stress ,ila stress kama stress zinawaumiza Sana extrovert maana naona hawana uwezo wa kuishi nazo kama introvertWatu wa kimya mnasumbuliwa sana na stress
Toka nimeanza kupanga Hadi najenga zaidi ya miaka 7 sijawahi gombana na mpangaji au jirani maana kwenye ugomvi unajiepusha wewe ni salamu miendo you just mind your own bznecNami pia cocastic wangu, yaani hatuna maugomvi na watu. hata wayaleta unajifanya kama hujaona vile
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] unaweza leta story nikikuta chenga natafuta majb ya kukukatishaYaani kukaa na li'mtu haliongei ata lipo2 kimya hujui linakufikiriaje..!!Je kama linawaza kukuchinja hahah
Sahihi Mkuu,Manageable stress ,ila stress kama stress zinawaumiza Sana extrovert maana naona hawana uwezo wa kuishi nazo kama introvert
Mimi huwa nasema hakuna stress inayonishinda najua kujipa moyo na kuwa firm huwa sihitaji kuhurumiwa na mda wote Niko tayari kisaikolojia
Hii kweliKingine ambacho hamfahamu kuhusu wapole na wakimya.. ni kwamba kwa sisi wanaume tunapenda sana wanawake, maana level ya hisia zetu ni kali sana..
Ila pia hatupendi kuonekana kama tunapenda wanawake, watu wanachukulia ukimya na upole wetu kama ni kuwa serious sana ila haipo hivo kila wakati
Kweli mkuu mara nyingi hua ipo hivi , selective ndio teso kwa watu wapole inanikumba sana hii.Ni kweli Mkuu tena hii ina advantage sana mimi nilikopita wanawake wengi walinitunuku sababu kuu upole wangu, na ukiwa nae karibu anashangaa kweli anasema nilikuchukulia mtu wa kuringa sana kumbe ni tofauti uko mcheshi na wild sana. kati ya kumi, tisa hawawezi kuruka lazima waingie kingi tena wao ndo huanzisha indiketa za mahusiano ya kudumu sema changamoto inakuwa ngumu sababu ya kuwa too selective sana kupelekea mtu kuhisi humjali wala humpendi.
Mimi pia sijawahi kuumizwa kwenye tasnia ya Mapenzi, Emotional management yangu ndio silaha nzuri kwangu.Sahihi Mkuu,
Katika historia yangu ya mahusiano sijawahi kuumizwa, pia huwa nina kuwa makini sana na intuition vile tukikutana for the first time itakavyoniambia huwa naitilia maanani katika memory yangu, trust me sijawahi kuumizwa kwenye mahusiano ikitokea nikagundua indiketa za kucheat na achana nae kwa kumchana laiv it’s ova na wala sigeuki nyuma na sijawahi kujutia mahusiano hata mke niliyenae tunaishi poa sana kwa kuzingatia intuition at the first sight.