Hivi kwanini watu wapole wako hivi?

Usisahau kuitafuna chupa.nasikia ni dawa ya covidi
Aisee mm Ni mmoja wa watu wapole,Sina tukio nililopiga maishani,ninaonewa Sana kwa upole wangu.
Lakini sio mkimya nikianza kuongea hutachoka kunisikiliza,hutatamani niache kuongea,sipendi mtu aonewe na sipendi kuonewa.
Hapa kutopenda kuonewa ndo umafia wangu ulipo.
Ila watu huwa wanakosea kudhani wapole hawana nyege,hawana njaa,hawana hisia,hawaumii,hawasikii maumivu na mengine mengi.
Sasa ukimuumiza Sana mpole Basi nae Kama Binadamu anayo haki ya kutupotezea ama kukurudi.

Hai mnaowaogopa Ni wakimya.
Hawa nao Ni Kama wengine wana Hali zote,hamu,nyege, ha like ya kusikia utamu au uchungu na mambo mengine mengi.ila wao tu sio waongeaji sana.hivyo ukiwazingua wanakuzingua pale atakaoona yamemshinda.

Hivyo wapole na wakimya nao Wana hisia zote.

Kati ya wapole na wakimya Kuna wezi,majambazi,Malaya,wachawi,waongo na kila Aina ya ufilauni.
Hivyo unaweza kukutana na mpole Malaya,mpole jambazi,mpole mwizi,mpole katili na vivyo hivyo kwa wakimya.
Nadio maana hawa watu wawili wakipiga tukio inakua na habari ya mjini.

Ila Hawa machakaramu wakipiga tukio watu wanaona nikawaida yao

Katika mapenzi wadada waliojichanganya kwangu huwa wananishangaa Sana kwamba da sikujua Kama wewe Ni mtundu namna hii.
Hapo Ni baada ya kumpigia shoo ya kugaidi.
Mie ni mpole Dada nipe nafasi Basi.
 
Hii sio kweli. Wanaume ndyo tupo selectiv tukifika kwenye swala la kutafta mke.
 
Me napenda kujua Kuna connection gan ya kua mpole na kuogopa madem[emoji23][emoji23][emoji23].... sio kwa nia mbaya lakin Wapole
 
Kuna tofauti kati ya mpole na mkimya wapole ni wachache ila wakimya ni wengi na ni wahuni wa kutupwa yaan ni afadhali ya wale waongeaji
Sio kweli bana.huwa tunaachwa Sana .
Kwa hiyo nukiachwa nikatafuta mwingine naonekana mhuni.
 
Umenikumbusha aisee.
Aisee uko Kama mm,Tena huwa namtahadharisha kabisa mshindani wangu,kuwa umejipanga?
Niliwahi mushinda Capt mmoja Hadi akataka tuhamie kwenye kuexchange punches,napo nulimuonya.Alinishitaki.
Baadae Kuna dokta mmoja akaniambia pembeni kua jamaa alidhani wewe kwa upole wako alidhani Ni fala.
Umenikumbusha kesi hiyo.
Nilimtoa nje vibaya Sana.
 
Duuh
 
Sisi malier alafu wapole wakiume tunaumwa hamonize syndrome tunapenda mizigo
 
Hahaha
 
🤣🤣🤣wanamatukio ya ajabu mnoo...unaweza bishana na malaika kwa kumtetea mtu mpole

😅😅Upole wao unanivutiaga ni kinyama. Sipendi mtu anaeongea sana🙈
Hahaha
 
Kuna wapole na wakimya. Wengi wanadhani wakimya ni wapole na waongeaji ni machakaramu ila wakishashangazwa ndio akili inarudi

Japo wakimya hata mimi nawaogopa maana unaweza fanya jambo na asitoe any reaction kumbe ushawekwa kwenye plan za mbeleni
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…