tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
Yaani mpaka raha kwa kweli maana ana piga kelele mda huo huo akishamaliza yameishaHao ndo wazuri kufanya nao kazi hawanaga hasira za muda mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mpaka raha kwa kweli maana ana piga kelele mda huo huo akishamaliza yameishaHao ndo wazuri kufanya nao kazi hawanaga hasira za muda mrefu
Nimecheka peke yangu bar,nakula ndizi na sodaWatu wapole ni mafia hatari aise..
Lakin ndio ugonjwa wangu😎😎huwa nawapenda huniambii kitu🤣🤣
KweliMkuu, naona umechanganya wapole na wakimya...[emoji848][emoji848]
Usisahau kuitafuna chupa.nasikia ni dawa ya covidiNimecheka peke yangu bar,nakula ndizi na soda
Aisee mm Ni mmoja wa watu wapole,Sina tukio nililopiga maishani,ninaonewa Sana kwa upole wangu.Usisahau kuitafuna chupa.nasikia ni dawa ya covidi
Mhuni tena awe Mpole?Ni wahuni hatari.
Nimefurahishwa sana baada ya kuona idadi kubwa ya Wana JF ni wapole na wakimya ni mtazamo mzuri
Sio kweli bana.huwa tunaachwa Sana .Kuna tofauti kati ya mpole na mkimya wapole ni wachache ila wakimya ni wengi na ni wahuni wa kutupwa yaan ni afadhali ya wale waongeaji
Umenikumbusha aisee.Zamani enzi za ujana huko mashule ya porini niliwahi kupewa kesi moja na jamaa mmoja hivi mbabe babe akijui kwamba mimi lofa!
Tulivyofika kwa pilato nilimu-outsmart hakuamini macho yake.
Aisee najiamini sana! My brain is a beautiful thing!
Wakati mwingine huwa siamini kama ubongo wangu unafanya kazi namna ile!
Hata mimi huwa najishangaa!
DuuhWasalaam wakuu.
Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole, jinsia zote wa kike na wa kiume.
Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.
Je, hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.
Hebu tusaidiane hapa wakuu.
HahahaWatu wapole ni mafia hatari aise..
Lakin ndio ugonjwa wangu😎😎huwa nawapenda huniambii kitu🤣🤣
HahahaNina experience mbaya na watu wapole!
Ama kweli usione ukadhani!
Huwa wanajifanya kuwa wanaogopa kuumizwa lakini behnd the scene ni dracula!
Ushangao utakaoupata ukiyajua ya nyuma ya pazia yanaweza kuupa moyo wako ulemavu wa kudumu!
Be ware!
A word is eneogh for the wise!
Hahaha🤣🤣🤣wanamatukio ya ajabu mnoo...unaweza bishana na malaika kwa kumtetea mtu mpole
😅😅Upole wao unanivutiaga ni kinyama. Sipendi mtu anaeongea sana🙈
InategemeanaKwa experience yangu, watu wapole huwa kina dada wanatuelewa sana sana.
HahahaKuna wapole na wakimya. Wengi wanadhani wakimya ni wapole na waongeaji ni machakaramu ila wakishashangazwa ndio akili inarudi
Japo wakimya hata mimi nawaogopa maana unaweza fanya jambo na asitoe any reaction kumbe ushawekwa kwenye plan za mbeleni