Kwa experience yangu, watu wapole huwa kina dada wanatuelewa sana sana.Watu wapole ni mafia hatari aise..
Lakin ndo ugonjwa wangu[emoji41][emoji41]huwa nawapenda huniambii kitu[emoji1787][emoji1787]
ni kweli kaka,mimi ni mmoja wao. siwezi kukaa na mdada zaidi ya siku tano,ntakuwa nshajua hii chenga so sihitaji endelea nayo. japo si sheria mawazo yngWasalaam wakuu.
Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole,
Jinsia zote wa kike na wa kiume.
Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.
Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu,
Ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.
Hebu tusaidiane hapa wakuu.
Hapo mkuu naomba tusaidiane kidogo kuwatofautisha kama hutajali
Mtu mpole.Tunaomba ufafanuzi hapa mkuu
Hakika kabisaKwa experience yangu, watu wapole huwa kina dada wanatuelewa sana sana.
Mtu mpole.
Wanafikiri sana kabla ya kutenda na sio wakurupukaji, na nirahisi kuwaamini na pia wako tayari kutoa msaada.
Watu hawa ni wazuri kuwa nao kama marafiki, na wasikilizaji wazuri ambao wanazielewa hisia za wengine.
Wapole wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu, na niwagunduzi wa vitu.
Kuna dhana kwamba Watu wakimya wana dharau kutokana na kwamba wakati wewe unaongea kwa mdomo, wao wanatabia ya kuongea kichwani mwao.
Pia inasadikika kwamba unapo ongea naye mara nyingi anaweza asijibu kwa maneno bali vitendo na pia anadaiwa kutosahau haraka alichoambiwa.
Kuna Movie Moja hivi niliangalia mwaka jana, (2019) inaitwa "Plus One". Ni love story flani hivi imechangamka. Anyway ngoja niende kwenye point..Wasalaam wakuu.
Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole,
Jinsia zote wa kike na wa kiume.
Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.
Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu,
Ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.
Hebu tusaidiane hapa wakuu.
Nahisi muonekano pia huweza kumtambulisha mtu kama ni mpole au mkimya.
Ni ukweli kwa kiasi kikubwa sana, mtu mpole akiamua kukupenda huwa kamaanisha hana ukinyonga.Kuna Movie Moja hivi niliangalia mwaka jana, (2019) inaitwa "Plus One". Ni love story flani hivi imechangamka. Anyway ngoja niende kwenye point..
Kuna Jamaa huko anaitwa Ben, kaigiza kama introvert flani hivi (aina ya watu unaowasemea hapo juu, wapole). Kuna mahali aliulizwa swali na bestie yake, Alice kuwa kwanini anashindwa ku date muda mrefu (or kudumu kwenye mahusiano)?
Nafikiri jibu alilotoa linaweza ku fit kwenye huu uzi..
Alisema "Watu wa aina yake (wapole) huwa sio rahisi sana kuwa kwenye mahusiano kwa sababu ni ngumu sana kuwazoea (especially wanaume), kwaiyo hii inawafanya wawe Single kwa muda mrefu sana. Sasa kuwa Single kunawafanya wajijue zaidi, kunawafanya wajue ni vitu gani hasa wanahitaji kwenye mahusiano. Kwaiyo hii inawapelekea kujua kwa haraka zaidi kuwa mtu wanayekutana nae hatawafaa au hataendana naye kabisa kwenye mahusiano, na hapotezi muda akishagundua hilo. "
Nadhani hiyo point ina ukweli ndani yake kulingana na uzi wako!
Ni kawaida kwa JF ... Members wa platform hii kila member ana gari .. Kila member hatumii tecno ..kila member ni muhitimu wa chuo kikuu and the likesNaona idadi ya wapole inazidi kuongezeka kwenye uzi
Na kwenye uzi huu kila member ni mpole[emoji23][emoji23]Ni kawaida kwa JF ... Members wa platform hii kila member ana gari .. Kila member hatumii tecno ..kila member ni muhitimu wa chuo kikuu and the likes
Mkuu umejibu swali nililojiuliza mda marefu kwamba Mimi Ni mkimya au mpole nimegundua sina sifa za upole ila Nina saifa za ukimya ila huwa hatuna dharau kama mnavotuchukulia sema tu huwa hatuna maneno ya kuongea matokeo yake ndo tunaonekana tuna dharau ila huwa hatusahau harakaMtu mpole.
Wanafikiri sana kabla ya kutenda na sio wakurupukaji, na nirahisi kuwaamini na pia wako tayari kutoa msaada.
Watu hawa ni wazuri kuwa nao kama marafiki, na wasikilizaji wazuri ambao wanazielewa hisia za wengine.
Wapole wanaweza kudumisha mahusiano yao na wengine na ni rahisi kukaa kwenye uhusiano kwa muda mrefu, na niwagunduzi wa vitu.
Kuna dhana kwamba Watu wakimya wana dharau kutokana na kwamba wakati wewe unaongea kwa mdomo, wao wanatabia ya kuongea kichwani mwao.
Pia inasadikika kwamba unapo ongea naye mara nyingi anaweza asijibu kwa maneno bali vitendo na pia anadaiwa kutosahau haraka alichoambiwa.
Eeehh ndio jf ilivyoNa kwenye uzi huu kila member ni mpole[emoji23][emoji23]