sema Nina aibu;na ndiyo pona ponaWakijichanganya watatubu[emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna tofauti kati ya mpole na mkimya wapole ni wachache ila wakimya ni wengi na ni wahuni wa kutupwa yaan ni afadhali ya wale waongeajiWasalaam wakuu.
Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole,
Jinsia zote wa kike na wa kiume.
Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.
Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu,
Ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.
Hebu tusaidiane hapa wakuu.
Matukio yanapigwa kwa ustadi kama wanaenda kuvamia ikulu ya Marekani😄😄Ni ukweli kwa kiasi kikubwa sana, mtu mpole akiamua kukupenda huwa kamaanisha hana ukinyonga.
Ila pia ukimzingua akaamua kufanya revenge hamna rangi utaacha ona maana analipiga tukio kwa ustadi na umakini bila kukurupuka.
Jamaa akabaki anatumbua mimacho tu😄😄Zamani enzi za ujana huko mashule ya porini niliwahi kupewa kesi moja na jamaa mmoja hivi mbabe babe akijui kwamba mimi lofa!
Tulivyofika kwa pilato nilimu-outsmart hakuamini macho yake.
Aisee najiamini sana! My brain is a beautiful thing!
Wakati mwingine huwa siamini kama ubongo wangu unafanya kazi namna ile!
Hata mimi huwa najishangaa!
Kweli kabisaaa.Kuna Movie Moja hivi niliangalia mwaka jana, (2019) inaitwa "Plus One". Ni love story flani hivi imechangamka. Anyway ngoja niende kwenye point..
Kuna Jamaa huko anaitwa Ben, kaigiza kama introvert flani hivi (aina ya watu unaowasemea hapo juu, wapole). Kuna mahali aliulizwa swali na bestie yake, Alice kuwa kwanini anashindwa ku date muda mrefu (or kudumu kwenye mahusiano)?
Nafikiri jibu alilotoa linaweza ku fit kwenye huu uzi..
Alisema "Watu wa aina yake (wapole) huwa sio rahisi sana kuwa kwenye mahusiano kwa sababu ni ngumu sana kuwazoea (especially wanaume), kwaiyo hii inawafanya wawe Single kwa muda mrefu sana. Sasa kuwa Single kunawafanya wajijue zaidi, kunawafanya wajue ni vitu gani hasa wanahitaji kwenye mahusiano. Kwaiyo hii inawapelekea kujua kwa haraka zaidi kuwa mtu wanayekutana nae hafai au hataendana naye kwenye mahusiano, na hapotezi muda akishagundua hilo, anaamua kuachana naye tu."
Na ndio sababu ya kwanini hawadumu kwenye mahusiano na mtu ambaye hawaendani naye. Simple!
Ukiwa mpole usiwe mkimya...Ndiyo hulka yetu 😀
Mkuu mimi hulka yangu nimpole (highly introvert ) na ulichosema ni kweli kabisa kwa upande wangu. Nina Miaka 29 nahitaji kuoa ila ndo ivyo unapata bahati ya kuwa na wanana warembo ila mahusiano ayadumu . Nikiona tu tabia sizielew haimalizi ata 2 weeks .Wasalaam wakuu.
Nimekuwa na ukaribu sana na watu wenye hulka ya upole,
Jinsia zote wa kike na wa kiume.
Ila hawa watu wapole wapo selective sana kwenye masuala ya kuchagua wenza au wapenzi wao.
Je,hii inachangiwa na wao kuogopa kuumizwa au? Maana anaweza kuingia kwenye mahusiano na akadumu kwa wiki tu,
Ukimuuliza anakwambia ameona hayo mahusiano hayatafika mbali.
Hebu tusaidiane hapa wakuu.
Unaweza kumpata introvert mwenzio na msiwezane.Mkuu mimi hulka yangu nimpole (highly introvert ) na ulichosema ni kweli kabisa kwa upande wangu. Nina Miaka 29 nahitaji kuoa ila ndo ivyo unapata bahati ya kuwa na wanana warembo ila mahusiano ayadumu . Nikiona tu tabia sizielew haimalizi ata 2 weeks .
Kuna wakati nafikiria kuzaa tu na mwanamke yoyote then Nilee mtoto ila naona hapana nahitaji kuwa family man. Labda nikutane na introvert mwenzangu tutaendana.
Dear future wife uko uliko ebu fanya fasta uje
Nadhani pm kwako pashawaka mkuuMkuu mimi hulka yangu nimpole (highly introvert ) na ulichosema ni kweli kabisa kwa upande wangu. Nina Miaka 29 nahitaji kuoa ila ndo ivyo unapata bahati ya kuwa na wanana warembo ila mahusiano ayadumu . Nikiona tu tabia sizielew haimalizi ata 2 weeks .
Kuna wakati nafikiria kuzaa tu na mwanamke yoyote then Nilee mtoto ila naona hapana nahitaji kuwa family man. Labda nikutane na introvert mwenzangu tutaendana.
Dear future wife uko uliko ebu fanya fasta uje