Mbuty
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 411
- 238
Have some manner. Wewe ni saint! Tunamjua yeye kwa kuwa ni mtu maarufu, weka bayana ya kwako tulinganishe! She is simply human.Being a hoe is an art
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Have some manner. Wewe ni saint! Tunamjua yeye kwa kuwa ni mtu maarufu, weka bayana ya kwako tulinganishe! She is simply human.Being a hoe is an art
Kwani msanii ni yule ambaye ameigiza "filamu ya mwisho lini?" Umejichanganya katika maelezo yako. Nadhani ungeuliza je amewahi kuigiza/kuimba nk. Sasa kama unauelewa kuwa amewahi "KUIGIZA" na ukawa unatuuliza "SISI" tukupe tarehe ya mwisho ya "UIGIZAJI" badala ya "WEWE" mjenga hoja kuja na "facts" kudhihirisha ama kutetea hoja yako ya kwanini unahisi WEMA sio msanii nadhani utakuwa hujamtendea WEMA haki yake. Hivi, member wa jf ni yule aliyeandika post/kuanzisha thread mara ya mwisho lini?
Msanii kwasababumaisha yake halisini maigizo tosha yaani anauwezo wa kuishi maisha ambayo hata familia yake inajiuliza amewezaji kuyaishi hiyo ni sanaa toshaHabarini Wakuu,
Huwa ninawashangaa sana wale wote wanaomwita Wema Sepetu kuwa ni "Msanii Maarufu"
Najiuliza ni Msanii maarufu katika tasnia ipi?
Aliigiza filamu ya mwisho lini?
Aliwahi kutoa single au Album ya nyimbo ipi na lini?
Kwanini anaitwa Msanii maarufu?
In this world even being a saint or hypocrite is an art too,you can choose what you want to be . But to me if it is blue ,it is blue and if it is red,it is red no matter who the fucker are you.Have some manner. Wewe ni saint! Tunamjua yeye kwa kuwa ni mtu maarufu, weka bayana ya kwako tulinganishe! She is simply human.
Azarel usanii ni dhana pana sana...hata kufake maisha unayoishi ni usaniiHabarini Wakuu,
Huwa ninawashangaa sana wale wote wanaomwita Wema Sepetu kuwa ni "Msanii Maarufu"
Najiuliza ni Msanii maarufu katika tasnia ipi?
Aliigiza filamu ya mwisho lini?
Aliwahi kutoa single au Album ya nyimbo ipi na lini?
Kwanini anaitwa Msanii maarufu?
Ndio maana nikasema angepaswa aitwe msanii au muigizaji wa zamaniKwani msanii ni yule ambaye ameigiza "filamu ya mwisho lini?" Umejichanganya katika maelezo yako. Nadhani ungeuliza je amewahi kuigiza/kuimba nk. Sasa kama unauelewa kuwa amewahi "KUIGIZA" na ukawa unatuuliza "SISI" tukupe tarehe ya mwisho ya "UIGIZAJI" badala ya "WEWE" mjenga hoja kuja na "facts" kudhihirisha ama kutetea hoja yako ya kwanini unahisi WEMA sio msanii nadhani utakuwa hujamtendea WEMA haki yake. Hivi, member wa jf ni yule aliyeandika post/kuanzisha thread mara ya mwisho lini?
Twin, hw comes tumwiteHapo kwenye member wa jf tuu [emoji23][emoji23]
Twin uje ujibu huku..
Wema alikuwa maarufu kabla ya kuanza kuigiza so akiitwa msanii maarufu ni sawa tuNiliziona zamani na hazikumfanya kuwa msanii maarufu kama anavyojulikana na wengi.
Mkuu Wema si muigizaji wa bongo muvi au haulifahamu hilo?Habarini Wakuu,
Huwa ninawashangaa sana wale wote wanaomwita Wema Sepetu kuwa ni "Msanii Maarufu"
Najiuliza ni Msanii maarufu katika tasnia ipi?
Aliigiza filamu ya mwisho lini?
Aliwahi kutoa single au Album ya nyimbo ipi na lini?
Kwanini anaitwa Msanii maarufu?
1000 x 1000 = 1,000,000 p.mMsaidie tu sababu kwenye nchi ya watu mil 50, itabidi afikishe hata downloads mil 1 Kitu ambacho hata ndotoni hatapata.
Hata akipata downloads 1000, hawatalipia asilimia kubwa hiyo subscripion. Abakie tu na kiki yake ya insta ya kujidanganya.
Msanii wa kula unga kma nyokaHabarini Wakuu,
Huwa ninawashangaa sana wale wote wanaomwita Wema Sepetu kuwa ni "Msanii Maarufu"
Najiuliza ni Msanii maarufu katika tasnia ipi?
Aliigiza filamu ya mwisho lini?
Aliwahi kutoa single au Album ya nyimbo ipi na lini?
Kwanini anaitwa Msanii maarufu?
Si ndo mana tunamjadili humu?Umaarufu upi?