Hivi kweli anachukizwa na vitendo vya mauaji na utekaji vinavyoendelea mjini?

Hivi kweli anachukizwa na vitendo vya mauaji na utekaji vinavyoendelea mjini?

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Amesema anasikitishwa sana na mauaji na utekaji. Swali ni alijiuliza, kama ni kweli ilikuwaje akaurudisha kwa kumteua mtu mwenye tuhuma za kuondoa haki za watu kuishi? Mtu ambaye taifa kubwa lenye vyombo na taasisi kubwa za ujasusi lilimpiga marufuku kuingia kwao kwa sababu ya tuhuma za kuua, kuteka na kutesa watu kinyume cha sheria?
Tafakari, huenda ni machozi ya mchawi kwenye msiba wa mtu aliyemuua
 
Amesema anasikitishwa sana na mauaji na utekaji. Swali ni alijiuliza, kama ni kweli ilikuwaje akaurudisha kwa kumteua mtu mwenye tuhuma za kuondoa haki za watu kuishi? Mtu ambaye taifa kubwa lenye vyombo na taasisi kubwa za ujasusi lilimpiga marufuku kuingia kwao kwa sababu ya tuhuma za kuua, kuteka na kutesa watu kinyume cha sheria?
Tafakari, huenda ni machozi ya mchawi kwenye msiba wa mtu aliyemuua
Madaraka yameishakuwa matamu inabidi kuyalinda kwa mbinu zote haramu na halali

Nina mwona akitoka pembeni anaenda kukipongeza kikosi maaluma Cha mauaji
 
Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno. Action speak louder than words..!!
 
Back
Top Bottom