Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 653
"Huyu ni Comedian mwingine hapa jukwaani .Huyu ni Comedian mwingine hapa jukwaani Mkuu..
Msome taratibu tu utamuelewa..
Kuna uzi wake anataka kuwa Dk. Ila kajifunzia You tube.
Kwa sasa ni Mtanesco.
JF hii[emoji114]
Ulichukua hatua gani ?Najibu tu swali la thread yako, je ATM huwa haikosei kuhesabu hela?
Jibu ni ndio, haikosei kuhesabu. Ila yanaweza kufanyika makosa hela ikahesabiwa na ikakwama kutoka. Kuna siku nishawahi kutoa hela, nikasikia mashine inahesabu lakini haikutoka ingawa nilipata msg kuwa nimetoa hela.
Kunayo ya ujazo ya lita 20 bei yake M2.8 ndio ya chini zaidi. Inapatikana Tegeta Dar es Salaam.