Uchaguzi 2020 Hivi kweli CCM mnataka Watanzania wawe na moyo gani kumchagua mgombea wenu?

Hivi ilitokeaje kuwa wajumbe wa mkutano mkuu kumchagua kwa 100% haikutokea hata kura moja ya hapana. Mbona wananchi wanatofautiana na wajumbe.
Hata wajumbe kutoka Kagera hawakujua wananchi wanafikiri nini? Wenye akili hebu fumbueni! Hii haikuwa hujima kweli!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hilo nalo neno
 
Okay.Yaan anaanzisha nyuzi ,nyingi zenye mlengo huo.Mara hao ,JPM akishinda Bahama nchi.Mpuuzi sana.JPM mitano tena
Aisee, unajua mtego wa panya huwekwa kitu kinchomvutia kama samaki au nyama choma. Panya atanasa tu. Sasa, kama ccm wamemuwekea mtego mgombea kwanza kwa kimjaza sifa na mapambio na kumpa large media coverage mwisho wakampa kura za kumteua za kishindo hivi vyote ni kama mtego. Ngoja niishie hapa hivi ni kweli kikulacho ni chawa nao wako nguoni mwako? Hawa chawa jamani tunashindwa kuwamwagia maji moto maana nguo hazivuki, zimegandia

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Nina hamu uchaguzi ,uwe hata Leo.Tuone kama huyo Lissu atapata hata kura 30%
Hiyo si ajabu, bali ajabu iliyopo ni huu uungwaji mkono ambao haukutazamiwa mwanzo! Hii itazaa ajabu nyingine kama hatapigiwa kura za kutosha. Hizi dalili za mvua za mawingu mazito, radi na ngurumo katika kiangazi kwa wapinzani. Huyu mtu aliaye nyikani akiwabatiza watu. Hii ndio ajabu, Ajabu ya Mumgu. Mwingira I dont undestand this.
Wenye masikio na wasiki japo mioyo yao ishatiwa ugumu.... Wanasikia, wanaona ... Lakini...

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Mapunguani yako mengi dunia hii!
 
Nina hamu uchaguzi ,uwe hata Leo.Tuone kama huyo Lissu atapata hata kura 30%
Kuna wenzako waliwesema hata 10% hapati, wengine wakasema 20% na wewe unasema 30%. Naona kadiri muda unavyoenda mnazidi kumpandishia asalimia tu. Haya ngoja tuone wenzako wengine watakuja na asilimia ngapi.
 
Hategemei ushindi wa kura bali wizi wa tume.
Nasikia kawaitisha MaDED wote kwenye kikao cha kazi Dar ili wakapange namna watakavyoiba kura! Tunawaambia mwaka huu hatukubali kuibiwa kiboya, mkurugenzi atakayejidai ajue anaweka rehani maisha yake au ya wanapendwa wake! Wamepanga eti kupeleka mawakala wa CCM kwa ngozi ya CHADEMA au ACT-Wazalendo, ole wao hao mawakala wa kubumba ambao chama hakitawatambua, tutawabana huku mtaani mpaka wasipumue!
 
MTU AWAYE YOTE MWENYE
AKILI TIMAMU
AKILI TIMAMU
AKILI TIMAMU
AKILI TIMAMU
AKILI TIMAMU HAWEZI KUMPIGIA KURA MGOMBEA urais WA maccm
 
Nimewaza na kufikir sana, kitendo cha Magu kuto peleka fidia kule Kagera zipo wazi sema tunajitoa ufahamu sisi wenyw.

Kama huelewi niulize nitakujibu.!
 
Okay.Yaan anaanzisha nyuzi ,nyingi zenye mlengo huo.Mara hao ,JPM akishinda Bahama nchi.Mpuuzi sana.JPM mitano tena
Wewe binti kama nyuzi za jamaa zinakuchokonoa sana mattercone na wewe uwe unaanzisha nyuzi za kumsifia mumeo Meko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…