Hivi kweli Harmonize ndio wa kutafuta views milioni 1 kwa siku 5?

Hivi ukiwa na viewers wengi youtube wanalipa??? Naomba kujua
 
Jama wa wcb wachafu wametumia nguvu nyingi Sana kumlinganisha rayvan Na tambo wakati tembo anamzidi hadi babayao
 
Jama wa wcb wachafu wametumia nguvu nyingi Sana kumlinganisha rayvan Na tambo wakati tembo anamzidi hadi babayao
Amzidi kwanza rayvanny, achukue BET, AFRIMMA, AFRIMA, AEUSA, STAQAWARDS, SOUNDCITY AWARDS, VIEWERS, SUBSCRIBERS, STREAMS ndo aje kupambana na DIAMOND PLATINUMZ THE GOAT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…