man of steel
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,099
- 2,354
Sasa mambo yapo mtandaoni darassa ngoma yake iliyohit na yenye viewers wengi ni Muziki.Wabongo ushamba wa YouTube haujawahi kuwaacha salama tatizo mmechelewa sana kuijua πππ
Sawa mkenya ulie jua mapemaWabongo ushamba wa YouTube haujawahi kuwaacha salama tatizo mmechelewa sana kuijua [emoji23][emoji23][emoji23]
Uyo jamaa anataka kuleta ujuaji akati ni wazi kwa sasa mafanikio ya msanii yanaoneka kwenye mitandao ndio ao views YouTube watu wanao stream sportfy boomplay nkSasa mambo yapo mtandaoni darassa ngoma yake iliyohit na yenye viewers wengi ni Muziki.
Huyo atakuwa mzee wa makamo ndomaana mambo Kama haya yamempita kushoto.Uyo jamaa anataka kuleta ujuaji akati ni wazi kwa sasa mafanikio ya msanii yanaoneka kwenye mitandao ndio ao views YouTube watu wanao stream sportfy boomplay nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mnajua au sijui ni mnakariri mpaka nyimbo ifikishe viewers 1M ndio kubwa hata breezy sometimes anatoa ngoma zinabuma hazifikishi viewers ambao huwa anafikisha nyimbo nyingine hv unajua kuwa Bieber ndio msaani mwenye subscriber wengi YouTube ana 50M nk.. lakini hana hata nyimbo 1 katika nyimbo 10 ambazo zimeangaliwa sana YouTube πππ ukitaka kujua mengi njoo Pm mm ni kama maktaba entertiment naijua vzr na ninaifuatilia coz napenda sana music.Sasa mambo yapo mtandaoni darassa ngoma yake iliyohit na yenye viewers wengi ni Muziki.
tena yupo kushoto kweli na alichelewa kumiliki smart phoneHuyo atakuwa mzee wa makamo ndomaana mambo Kama haya yamempita kushoto.
Ujui chochote subiria kuhadisiwa na hao watu wa vijiweni huko kwenu.ππ acha ushamba wa kukariri.Uyo jamaa anataka kuleta ujuaji akati ni wazi kwa sasa mafanikio ya msanii yanaoneka kwenye mitandao ndio ao views YouTube watu wanao stream sportfy boomplay nk
Sent using Jamii Forums mobile app
mm ni Mtanzania na ndui ni nayo fuatilia vitu usipende kuhadisiwa tu na kufuata mkumbo mbona simu unayo nzr tu na access ya internet unayo mzee tatizo liko wapi.
Ujuaji mwingi afu mbele kiza leo hii despacito ndo nyimbo yenye views nyingi lakini Luis fons hana subscribers wengi compared to jb hivyo basi kwenye swala la malipo huwezi wa compare pamoja harmo ana subscribers wengi kuliko reyvan lakini kwenye fact ya mafikio ya kutazamwa na wengi YouTube kwenye nyimbo zao za sasa you can see the differenceTatizo mnajua au sijui ni mnakariri mpaka nyimbo ifikishe viewers 1M ndio kubwa hata breezy sometimes anatoa ngoma zinabuma hazifikishi viewers ambao huwa anafikisha nyimbo nyingine hv unajua kuwa Bieber ndio msaani mwenye subscriber wengi YouTube ana 50M nk.. lakini hana hata nyimbo 1 katika nyimbo 10 ambazo zimeangaliwa sana YouTube [emoji23][emoji23][emoji23] ukitaka kujua mengi njoo Pm mm ni kama maktaba entertiment naijua vzr na ninaifuatilia coz napenda sana music.
Kama kukariri we jamaa ni mshamba wa mwisho ko ili nyimbo ionekane inamafanikio kwako we unaangalia nn mana saizi kila kitu ni mtandaoUjui chochote subiria kuhadisiwa na hao watu wa vijiweni huko kwenu.[emoji23][emoji23] acha ushamba wa kukariri.
Uyo jamaa ajui ata anacho kibisha anabisha tu irimradi na yy aonekane anajua akati ni chenga kabisaBillboard chart huwaga zinaandaliwa kwa kutizama vitu vingi sana Kuanzia rotation kwa radio na TV,chart mbalimbali za Radio na TV na streams kwenye digital platform kuanzia (Youtube,Itunes,Sportfy,Tidal nk).
So kuwa na views wengi Youtube ni moja ya criteria inayo reflect nyimbo kufanya vizuri.
ππππ hv umenielewa nilichosema hapo mwanzo kwamba sio kila muziki ambao haukufanya vzr YouTube wa msanii fulani ndio kipimo cha maisha yake ya music unawajua wakina Celine Dion ww hawana nyimbo nyingi YouTube lakini unajua show yake moja ni dolla ngapi? πππ usikurupuke acha na mahaba ya kijinga. πππ na ndio maana nikasema kuwa JB ana sub wengi lakini hayupo hata kwenye top 10 ya most viewed song kwahiyo JB ajui kuimba πππππUjuaji mwingi afu mbele kiza leo hii despacito ndo nyimbo yenye views nyingi lakini Luis fons hana subscribers wengi compared to jb hivyo basi kwenye swala la malipo huwezi wa compare pamoja harmo ana subscribers wengi kuliko reyvan lakini kwenye fact ya mafikio ya kutazamwa na wengi YouTube kwenye nyimbo zao za sasa you can see the difference
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna hoja leta hoja au unapayuka tu. ππππHuyo atakuwa mzee wa makamo ndomaana mambo Kama haya yamempita kushoto.
πππ kwani Kondeboy na RayVan nani anaongoza kwa kulipwa kwa kazi za YouTube tuanzie hapo tu kwanza ukijua njoo tuendelee sawa.Uyo jamaa ajui ata anacho kibisha anabisha tu irimradi na yy aonekane anajua akati ni chenga kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kubishana na hivyo vitoto vinuka mikojo ya mama zao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hv umenielewa nilichosema hapo mwanzo kwamba sio kila muziki ambao haukufanya vzr YouTube wa msanii fulani ndio kipimo cha maisha yake ya music unawajua wakina Celine Dion ww hawana nyimbo nyingi YouTube lakini unajua show yake moja ni dolla ngapi? [emoji23][emoji23][emoji23] usikurupuke acha na mahaba ya kijinga. [emoji23][emoji23][emoji23] na ndio maana nikasema kuwa JB ana sub wengi lakini hayupo hata kwenye top 10 ya most viewed song kwahiyo JB ajui kuimba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imeishawakuu bila kupoteza muda nomba niweke mtazamo wangu hapa naruhusu kukosolewa
Huyu kijana toka ametoka kundini kabadilika kwa Mambo mengi sana ambayo kimsingi yanaua mziki wake
Ipo ivi alipo kua anatoka WCB alishawishiwa na watu wenye nia ya kufanya nae kazi wakiwa na imani watafaidika kulingana na umaarufu na mafanikio aliyo jozolea mwaka 2019 hapa kilicho tokea ni yeye kujiona mkubwa sana na hiki ndicho kilichopo kwenye habari za chini chini kua anakiburi na dharau kwa manager wake uyu anae jiita jembenijembe na uyo mwingine anae jiita mjerumani ni mtu wa kupenda ubinafsi sana hapa tayari anatengeneza mkanganyiko kwa watu muhimu walio nyuma yake na hii kitu inashusha muziki wake
Mapenzi ya mashabiki alivyo ondoka Cristian Ronald real Madrid aliondoka na kundi kubwa sana la mashabiki walio unfollow page ya real Madrid na ku follow page ya Juventus hii ni kwasababu ya mapenzi na ushawishi wa Ronald nirudi kwa msanii HARMONIZE yeye Kama yeye hakuwa na ushawishi mkubwa sana kuliko diamond plutnumz ko kuondoka kwake kundini si kwamba kaondoka na idadi kubwa sana ya mashabiki hapana hivyo yy Kama yy kapoteza idadi kubwa ya watu waliokua wanampenda diamond na mapenzi yao kuhamishia kwa wasanii wake akiwemo HARMONIZE ko kijana kapoteza kundi kubwa mno hivyo kusababisha kuyumba kimziki
Matarajio clouds tv & radio efm radio &etv walitarajia kua ndio wamefanikiwa kupata mtu wakumpoteza diamond plutnumz hivyo wakaanza kuhamishia majeshi kwa HARMONIZE ili amshushe mondi Kama mjuavyo clouds ni wazee wakusoma upepo wameona kwa mmakonde akuna kipya cha kumtingisha mondi wamepunguza majeshi yao ata yule dada wa ala za roho atapoa tu na yeye
Efm wenyewe sizani Kama wataendelea kutumia nguvu nyingi tena kwa mamakonde Kama walizo tumia kwenye show yake ya mtwara kwao
WCB wao wanajitahidi sana kusaport wasanii wao na ku wa brand leo hii ndo matokea haya tunayo yaona
Diamond plutnumz
Reyvan
Mbosso
Lavalava
Qeen dareen
Mama dangote
Esma
Na wengine wengi sana wana support kazi za wasanii wao
Uje kwa HARMONIZE
Yeye anao
Jembe ni jembe
Mjerumani
Clouds
Efm
Josemipango
Chopa na wengine wengii
Ukiangalia kwa HARMONIZE clouds bado wanataka utawala hivyo awawezi muacha awe mtawala
Efm wako busy na singeli zao
Mjerumani jembe ni jembe chopa Jose wa mipango sio wakubwa sana kusema wana mchango mkubwa sana kwa HARMONIZE
Mwazo alipo jitoa ametembelea nyota aliyo toka nayo saizi anarudi kwenye uhalisia wa maisha yake bila WCB
Maisha yake ndo aya 1m anatafuta kwa wiki moja adi miezi na collaboration na mtu Kama mr izy View attachment 1356650View attachment 1356651
Sent using Jamii Forums mobile app