Hivi kweli hili taifa la Marekani (USA) litakuja kupitia kiuchumi?

Hivi kweli hili taifa la Marekani (USA) litakuja kupitia kiuchumi?

Dunia ime-advance sana toka enzi za medieval empires. Marekani ni product ya mchakato wa uboreshaji (refinement) wa dhana zote kuu za kijamii toka enzi hizo.
Unajua ni sababu zipi zinamfanya U.S.A apoteze ushawishi Africa , Middle East , Baadhi ya mataifa ya America ya Kusini na Baadhi ya mataifa ya Asia na baadhi ya mataifa ya Ulaya ? Na unajua ni sababu zipi zinaifanya china kupata ushawishi kwenye hayo maeneo ?[emoji848]
 
Dunia ime-advance sana toka enzi za medieval empires. Marekani ni product ya mchakato wa uboreshaji (refinement) wa dhana zote kuu za kijamii toka enzi hizo.
Dunia ni ile ile Ila hao walifanya makosa yakawafanya wapoteze ushawishi na kuanguka same as U.S.A anavyofanya makosa ambayo yatampelekea kuanguka pia .moja la kosa kubwa U.S.A analofanya ni kuingilia mambo ya nchi na kuzitishia usalama tawala zinazokuwa ambazo azikubaliani na yeye hili ni kosa kubwa Sana linalompunguzia ushawishi duniani kwa kasi kubwa Sana uku mshindani wake China akiitumia hii Kama advantage kwake
 
Hadhari ndogo. USA sio taifa la kikabila (racial) kama China, India, Japan, Russia, Germany, etc. Linakusanya vipaji vyote na mitaji yote ulimwenguni. Km, tajiri mkuu duniani hivi sasa, Elon Musk, asili yake ni Afrika ya Kusini na kampuni yake ya Tesla inayoongoza kwa magari ya umeme. Silicon Valley imejaa wahamiaji wenye akili kubwa wanaendeleza the American dream.

USA ni dhana (concept) ni ndoto iliyoasisiwa na watu waliotaka uhuru kamili wa mtu binafsi wakipinga kudhibitiwa na tawala za kikale za kikabila na kihafidhina kama Babeli, Greek, Roma, Ottoman, British empires.

Ni kazi ngumu sana kulishinda taifa ambalo ni dhana (concept) na ndoto ya wajasiriamali duniani. Wamarekani wenye asili ya Ujerumani ndio walioiwahisha Marekani kuongoza kwenye teknolojia ya anga; wenye asili ya India na China wanaongoza kwenye ICT na mitandao ya fedha; wenye asili ya Ulaya wanaongoza kwenye tafiti za sekta kadhaa. Best brains za Afrika zinahamia Marekani kila kukicha.

Utawala ni wa kimfumo, kidemokrasia; hautegemei maono na busara za mtu mmoja. Itachukua muda sana kubomoa hiyo dhana na ndoto ya wengi duniani.
Kwani china inaongozwa na mtu moja?[emoji848]. Mfumo wa kiongozi wa China na U.S.A ni Kama unafanana wakati U.S.A wakipiga kura wananchi through mnayoiita democracy alafu watu wachache nao wanapiga kura ya kuamuru mtu huyo awe Rais au la. huku wenzao wachina kiongozi anakuzwa kwenye uongozi from the grassroot alafu watu huku akifwatiliwa kwa umakini pamoja na mitihani ya kutosha atafanya ,pamoja na kuonesha ni nini ameifanyia jamii katika nafasi ndogo ya uongozi aliokuwa nayo alafu wanachama wachache ndio wanamuidhinisha kuwa Rais kwa kuwa anakuwa na ethics zote za kuongoza taifa kubwa la china alafu nyuma yake Kuna kuwa political buro na katiba ya china kumguide
 
Kwani china inaongozwa na mtu moja?[emoji848]. Mfumo wa kiongozi wa China na U.S.A ni Kama unafanana wakati U.S.A wakipiga kura wananchi through mnayoiita democracy alafu watu wachache nao wanapiga kura ya kuamuru mtu huyo awe Rais au la. huku wenzao wachina kiongozi anakuzwa kwenye uongozi from the grassroot alafu watu huku akifwatiliwa kwa umakini pamoja na mitihani ya kutosha atafanya ,pamoja na kuonesha ni nini ameifanyia jamii katika nafasi ndogo ya uongozi aliokuwa nayo alafu wanachama wachache ndio wanamuidhinisha kuwa Rais kwa kuwa anakuwa na ethics zote za kuongoza taifa kubwa la china alafu nyuma yake Kuna kuwa political buro na katiba ya china kumguide
Huijui demokrasia?
 
Huijui demokrasia?
IMG_20220515_161728.jpg
 
Kipindi cha JPM tanzania tulikua dona kantrii, naamini zuliipita hata Marekani kiuchumi
Yale yalikuwa maruweruwe ya mtu kujikuta ghafla furushi la hazina ya taifa liko mikononi anajichotea anavyotaka na kuzigawa anavyotaka bila kuulizwa na "mjinga" yoyote. Pale alikuwa anamuona hata Trump au Bill Gates kama vinyago fulani hivi. Dona kantri 🙄; tumetoka mbali sana.
 
Asee kama hii ni kweli basi ujue ni hatari kwa US.

Sema ujue nini!! utawala wa US hapa kwa planet sio currency yake pekee.Guess what!! US ana influence katika hii planet katika haya maeneo,technology(hapa jaribu kidogo tu uangalie katika info.tech usiangalie industrial tech.Kampuni kama Meta,IBM,ALPHABET,Paypal,Apple inc na kuendelea zote either ownership yake ni Wamarekani au zinamaskani na operation zake nyingi ni huko)

Angalia kwa mfano kwenye michezo pamoja na burudani(ukitoa football ambayo Uk,Spain,Germany,France na Italy wanautawala mkubwa, basi michezo mingine yote karibia US ana ushawishi mkubwa kupita hao wanaodhaniwa kuja kuchukua status yake.Mfano,Basketball,NBA unaona ushawishi wake,Rugby,Wrestling nenda kwenye Music industry najua ni rahisi sana kutaja wasanii kutoka US ila task hii ukipewa utaje wachina sidhani kama utaeleweka hapa).

Mwisho kabisa kwanini inakuwa ngumu ata China kumbwekea US,ni kwasababu uchumi au niseme ustarabu wa Mchina uko embedded na kile tunaita American culture.Just imagine,China anapiga hatua katika technology lakini hawezi kumarket product zake duniani bila kuzipa label au kudocument katika lugha ya Kiingreza(hii ina maana kwamba China bado sio independent katika aspect tunaita culture i.e refer to language that China use to market their products worlwide).Hii naweza kusema haina tofauti na mtoto ambaye bado yupo kwa baba yake kapatiwa chumba tu cha kuishi lakini kila kukicha anatunisha misuli kwa baba yake(Hii nikimanisha mtoto kumkosea baba yake heshima)
Ongezea hapo...

Lugha inayotumika pia inaifanya US kuwa hapo ilipo...

China ataweza kama ataamua pia na kuhakikisha lugha anayoitumia iwafikie wengi au isambae kwenye mabara yote Duniani atafanikiwa
 
Back
Top Bottom