Unashupaza shingo wakati comment no 1 kajieleza?Kama hoja ni kushuhudia wapo wengi wanaopona, lakini ni wagonjwa walioandaliwa, kiukweli labda uwe na mapepo au stress ndio maombi yanaweza kukuponyesha lakini kama ugonjwa wako ni ugonjwa halisi,hata waombeaji wote duniani wakuombee hutapona ni mpaka utumie njia halisi kama hospitali au dawa za kienyeji
HAKIKA HAYAPONYI! Mara mafuta,chimvi tutaonana mengiMaombi hayaponyi ni sanaa tu na ndio maana hatuzioni ambulance zikipeleka wagonjwa makanisani
Kama hoja ni kushuhudia wapo wengi wanaopona, lakini ni wagonjwa walioandaliwa, kiukweli labda uwe na mapepo au stress ndio maombi yanaweza kukuponyesha lakini kama ugonjwa wako ni ugonjwa halisi,hata waombeaji wote duniani wakuombee hutapona ni mpaka utumie njia halisi kama hospitali au dawa za kienyeji
Mkuu Ni kweli tupu.toka utoto wangu sijawahi shuhudia mtu anae umwa tatizi linalo onekana kwa macho kapona kwa MAOMBI! wengi ya waliopona Ni wale wa kipofu macho yasiyo na dalili za upofu,kiziwi,kilema wa magongo wenye ulemavu usio na dalili za kulemaa na SI wale wenye ulemavu usio na Shaka.
Sure mkuu. Nikiwa mtoto niliwahi kumuuliza Bimkubwa mmoja ambaye alikuwa Mwalimu wangu wa sayansi. Mwalimu huyu alivunjika mguu.
SWALI:
Mwalimu mbona sisi tukiugua unatwambia twende hospitali kisha tulete vyeti shuleni, lakini wewe umevunjika mguu na huendi hospitali unaombewa tuu je utapona bila kula dawa? ALIISHIA KUPATA KILEMA CHA KUDUMU KWA UZEMBE WAKE. Namimi niliangukia kichapo kila akiikumbuka SWALI LANGU Hadi Nika hamishwa shule!
HAKUNA ALIYE WAHI PONA TATIZO LINALO ONEKANA KWA MAOMBI!
Uwepo wa Mungu yupi unaemuabudu maana miungu iko mingiMimi naamini uwepo wa Mungu namuabudu pia mfuasi wa dini fulani. Lakin kwa haya mambo ya mtu kupona kwa maombi au dua tu huwa siamini.
Inaezekana kweli zamani enzi za manabii watu walikuwa wanapona kweli kwa maombi/ dua lakin kwa dunia ya sasa sidhani kama kuna hki kitu. Yani mtu kupona ugonjwa kwa maombi tu bila kutumia dawa au vtu kama hivi.
Ulishwahi kushuhudia mtu aliepona kwa maombi tu? Sio kushuhudia kwnye tv au kuhadithiwa namaanisha kushuhudia kwa macho yko mgonjwa/ mtu alikuwa na matatizo akawa sawa kwa maombi tu?
Hapa namaanisha labda mtu ulikuwa unamuona ana struggle kwa muda mrefu baadae akaenda kwenye maombi akawa sawa. Umewai shuhudia ktu km hii?
Umeanza utapeli wako[emoji850][emoji850][emoji850]Kuna jirani aligundulika ana mchanga ndani ya mguu wake. Maombi ndio yalimponya
Uongo huo wewe....Alitumia maombi tu, Kila kitu kinawezekana kama ututumia nguvu za kiroho kupambana na nguvu za mwilini.
Unachotakiwa kuanacho ni imani, Commitment na Subira
Alikuwa anaunwa ugonjwa gani?Wengi tu Kuna jamaa alikuwa dereva na muislamu aliletwa kanisani akiwa hawez kuamka, kuongea Wala kusikia na hajitambui hata mke wake na watoto hawajui na hajui watt Ni Nini na maana ya mke!!!
alipigwa fire maombi ya Siku 14 Tena kambi, na akaanza kupona taratibu Sasa hivi mzima anafanya Kazi Yap merkez Morogoro...
Haswaaahakuna kitu yale yote maigizo, na wanalipwa
HahahahahaUmeanza utapeli wako[emoji850][emoji850][emoji850]
AJABU KUU NI KWAMBA WANAO WAOMBEA WENZAO HUENDA MAMLAKA ZA TIBA( HOSPITALI) KUPATA MATIBABU LAKINI WAOMBEWAJI HAWASTUKIhiyo style ipo kwa wakristo tu ya kupona kwa maombi cha ajabu hawaendi muhimbili au bugando au kcmc hospital kwenda kuwaombea wote wapone hawa manabii wa kikatolic wanajificha nyuma ya watu waoongo hujifanya nimepona kwa maombi ili wapige pesa wangapi wanaomba ITV wachangiwe wakatibiwe india mbona hawaendi kwa manabii uchwara serikali kamata manabii peleka muhimbili wakawaombee vilema waliokuwa wamepata ajali ya pikipiki wote watoke wanatembea kwa siku moja au wiki sio mbaya