Hivi kweli Raila na CORD ni watetezi wa demokrasia au wanatetea matumbo yao?

Hivi kweli Raila na CORD ni watetezi wa demokrasia au wanatetea matumbo yao?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Nimemsikiliza leo Raila akidai ya kuwa yeye hatetei ajira yake serikalini bali anatetea demokrasia: Swali linakuja kama ni kweli kwanini anayakubali matokeo ya sehemu nyinginezo zote ambazo CORD imeibuka kidedea na kuyapinga maeneo ambayo wamegalagazwa na kupigwa mweleka?

Kama kweli IEBC walicheza faulo basi Amollo na wafuasi wake wanapaswa kuyakataa matokeo yote badala ya kuchagua yale ambayo wamepigwa chali na kuanzia hapo ndipo tutakapoanza kuwaamini ya kuwa wao ni watetezi wa demokrasia ya kweli.,

Mkakati wa Raila unanikumbusha mwaka 2000 pale mgombea uraisi wa Democratic party of USA Al-Gore alipopinga baadhi ya matokeo ya maeneo machache ya Florida badala ya kuomba kura zote zirudiwe kuhesabiwa.

Kwa maoni yangu Amollo awe mkweli na kutangaza masilahi ni binafsi siyo endelevu kama anavyodai.

Pili Amollo amekuwa akidai kuna tawala mbili moja ni ya "status quo" na nyingine ni yake ambayo inalenga kuleta mabadiliko. Kwa kiongozi aliyekuwemo serikalini muda mrefu inabidi ajiulize hivi maana halisi ya "status quo" ni ipi wakati yeye mwenyewe anakiri yuko serikalini ambako amekuwa akitafuna nusu bofloooooooooooooooooooooo.

Wakati wa kampeni Amollo alidai yeye ndiye kiongozi mwenye uzoefu kulikoni wengineo wote kama hili ni kweli yawaje anawaita wenzie ni
"statu quo" wakati yeye yupo serikalini tena kuanzi a enzi za Moi ambapo alikuwa waziri wa energy? Kama huu siyo kukosa busara sijui nini? Lakini Miguna wa Miguna kwenye kitabu chake alitujuza ya kuwa Raila ni failure wa darasa la NNE kwahiyo uwezo wake wa kutafakari unatia mashaka makubwa kabisa!


Ujumbe wa Amollo umejaa unafiki na vigumu kwa mtu mwenye akili timamu kumwamini lazima uwe juha kidogo au ziwe zimefyatuka kuafiki hizi khoja za Amollo ambazo zimejaa migongano mingi ya kimantiki na khali asilia............

 
Nimemsikiliza leo Raila akidai ya kuwa yeye hatetei ajira yake serikalini bali anatetea demokrasia: Swali linakuja kama ni kweli kwanini anayakubali matokeo ya sehemu nyinginezo zote ambazo CORD imeibuka kidedea na kuyapinga maeneo ambayo wamegalagazwa na kupigwa mweleka?

Kama kweli IEBC walicheza faulo basi Amollo na wafuasi wake wanapaswa kuyakataa matokeo yote badala ya kuchagua yale ambayo wamepigwa chali na kuanzia hapo ndipo tutakapoanza kuwaamini ya kuwa wao ni watetezi wa demokrasia ya kweli.,

Mkakati wa Raila unanikumbusha mwaka 2000 pale mgombea uraisi wa Democratic party of USA Al-Gore alipopinga baadhi ya matokeo ya maeneo machache ya Florida badala ya kuomba kura zote zirudiwe kuhesabiwa.

Kwa maoni yangu Amollo awe mkweli na kutangaza masilahi ni binafsi siyo endelevu kama anavyodai.

Pili Amollo amekuwa akidai kuna tawala mbili moja ni ya "status quo" na nyingine ni yake ambayo inalenga kuleta mabadiliko. Kwa kiongozi aliyekuwemo serikalini muda mrefu inabidi ajiulize hivi maana halisi ya "status quo" ni ipi wakati yeye mwenyewe anakiri yuko serikalini ambako amekuwa akitafuna nusu bofloooooooooooooooooooooo.

Ujumbe wa Amollo umejaa unafiki na vigumu kwa mtu mwenye akili timamu kumwamini lazima uwe juha kidogo au ziwe zimefyatuka kuafiki hizi khoja za Amoll ambazo zimejaa migongano mingi ya kimantiki na khali asilia............
Petition iliyowasilishwa Supreme Court umeiona?
Dai la kwanza ni hili:
What the Petitioner (PM RailaOdinga) is asking the court to do:

1. Set aside the results of the Presidential election as announced by IEBC on 9March 2013, and the declaration of Uhuru Kenyatta as President-elect and William Ruto as Deputy President-elect respectively, and declare asnull and void the whole electoral process leading to that declaration."
Pitia kona ile nimeweka (nimeikopi) kwa kirefu sana..
Pia unachosema hapa hakiharalishi ushwetani ulofanywa na IEBC na Uhuru wako. Ngojea mkabwe koo pale mahakamani ndo mtamjua Agwambo ni nani!
 
Petition iliyowasilishwa Supreme Court umeiona?
Dai la kwanza ni hili:
What the Petitioner (PM RailaOdinga) is asking the court to do:

1. Set aside the results of the Presidential election as announced by IEBC on 9March 2013, and the declaration of Uhuru Kenyatta as President-elect and William Ruto as Deputy President-elect respectively, and declare asnull and void the whole electoral process leading to that declaration."
Pitia kona ile nimeweka (nimeikopi) kwa kirefu sana..
Pia unachosema hapa hakiharalishi ushwetani ulofanywa na IEBC na Uhuru wako. Ngojea mkabwe koo pale mahakamani ndo mtamjua Agwambo ni nani!

Jibu khoja hizi khalafu tuendelee. Hiyo petition itatupwa kwa kukosa ushahidi. Ukiona watu wanajigamba kwenye majukwaa badala ya kujikita kusoma na kupekua ushahidi ujue matokeo wanayajua hata kabla ya mahakama ya kileleni haijawatupia virago vyao..................
 
Ni kawaida yako kundika hisia na mapenzi/chuki binafsi badala ya hoja za msingi.
Hapa hakuna hoja ya kujadili bora urudi kwenye siasa za kibongo kwani wakenya wamekuacha mbali sana ndio maana sikushangaa uliposhindwa kuielewa critical analysis ya nation na kuishia kuiandika cord hata mahali isipohusika.

Yani hata huelewi kwamba matokeo ya uraisi ndio yanapingwa unauliza anapinga baadhi ya maeneo, sijui hili umeliokota wapi. Kama unadhani Raila anatetea tumbo lake kwani Uhuru atakuwa anafanya kazi bila malipo??
 
Rutashubanyuma
Kwenye hii kesi uliandika kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)ni lazima ahusishwe kama mmoja wa walalamikiwa, lakini hapa hayumo vipi na kulikoni? tujuze mkuu.
 
licha ya kutetea tumbo lake; nyuma yake jamii ya kimataifa inamsapoti ndio maana hata waziri wa mambo ya kigeni nhini marekani JOHN KERY katika hotuba yake akiwa anatoa shukrani kwa wananchi wa kenya kwa kufanya uchaguzi wa amani hakutaja hata mara moja jina la rais aliyetangazwa; hii ni ishara kwamba utawala wa Obama ulitaka RAILA ODINGA ashindse,
 
rutashubanyuma utaendelea kubaki nyuma milele kama jina lako lilivyo, chuki ndo zinakusumbua juu ya raila.
 
Nimemsikiliza leo Raila akidai ya kuwa yeye hatetei ajira yake serikalini bali anatetea demokrasia: Swali linakuja kama ni kweli kwanini anayakubali matokeo ya sehemu nyinginezo zote ambazo CORD imeibuka kidedea na kuyapinga maeneo ambayo wamegalagazwa na kupigwa mweleka?

Kama kweli IEBC walicheza faulo basi Amollo na wafuasi wake wanapaswa kuyakataa matokeo yote badala ya kuchagua yale ambayo wamepigwa chali na kuanzia hapo ndipo tutakapoanza kuwaamini ya kuwa wao ni watetezi wa demokrasia ya kweli.,

Mkakati wa Raila unanikumbusha mwaka 2000 pale mgombea uraisi wa Democratic party of USA Al-Gore alipopinga baadhi ya matokeo ya maeneo machache ya Florida badala ya kuomba kura zote zirudiwe kuhesabiwa.

Kwa maoni yangu Amollo awe mkweli na kutangaza masilahi ni binafsi siyo endelevu kama anavyodai.

Pili Amollo amekuwa akidai kuna tawala mbili moja ni ya "status quo" na nyingine ni yake ambayo inalenga kuleta mabadiliko. Kwa kiongozi aliyekuwemo serikalini muda mrefu inabidi ajiulize hivi maana halisi ya "status quo" ni ipi wakati yeye mwenyewe anakiri yuko serikalini ambako amekuwa akitafuna nusu bofloooooooooooooooooooooo.

Wakati wa kampeni Amollo alidai yeye ndiye kiongozi mwenye uzoefu kulikoni wengineo wote kama hili ni kweli yawaje anawaita wenzie ni
"statu quo" wakati yeye yupo serikalini tena kuanzi a enzi za Moi ambapo alikuwa waziri wa energy? Kama huu siyo kukosa busara sijui nini? Lakini Miguna wa Miguna kwenye kitabu chake alitujuza ya kuwa Raila ni failure wa darasa la NNE kwahiyo uwezo wake wa kutafakari unatia mashaka makubwa kabisa!


Ujumbe wa Amollo umejaa unafiki na vigumu kwa mtu mwenye akili timamu kumwamini lazima uwe juha kidogo au ziwe zimefyatuka kuafiki hizi khoja za Amollo ambazo zimejaa migongano mingi ya kimantiki na khali asilia............


uelewa wako kuhusu demokrasia na dhana ya mgawanyo wa madaraka katika vyombo vya dola ni hafifu, rudi darasani , iache mahakama kuu ya kenya ifanye kazi yake ,ushabiki wako kwa TNA na uhuru usikupofushe kwenye hoja za msingi.
 
uelewa wako kuhusu demokrasia na dhana ya mgawanyo wa madaraka katika vyombo vya dola ni hafifu, rudi darasani , iache mahakama kuu ya kenya ifanye kazi yake ,ushabiki wako kwa TNA na uhuru usikupofushe kwenye hoja za msingi.
Hebu muulize ubakaji wa demokrasia wa UK na wenzie wenye kujenga the only super highway kwao unamsaidiaje mkulima wa kahawa kule Kyaka Bukoba asiye na umeme wala barabara, hospitali wala shule za maana?
 
licha ya kutetea tumbo lake; nyuma yake jamii ya kimataifa inamsapoti ndio maana hata waziri wa mambo ya kigeni nhini marekani JOHN KERY katika hotuba yake akiwa anatoa shukrani kwa wananchi wa kenya kwa kufanya uchaguzi wa amani hakutaja hata mara moja jina la rais aliyetangazwa; hii ni ishara kwamba utawala wa Obama ulitaka RAILA ODINGA ashindse,

Kwenye RED mkuu; Utawala wa Obama ulitaka RAILA ODINGA ashinde........Ulitakaje?!
 
Nimemsikiliza leo Raila akidai ya kuwa yeye hatetei ajira yake serikalini bali anatetea demokrasia: Swali linakuja kama ni kweli kwanini anayakubali matokeo ya sehemu nyinginezo zote ambazo CORD imeibuka kidedea na kuyapinga maeneo ambayo wamegalagazwa na kupigwa mweleka?

Kama kweli IEBC walicheza faulo basi Amollo na wafuasi wake wanapaswa kuyakataa matokeo yote badala ya kuchagua yale ambayo wamepigwa chali na kuanzia hapo ndipo tutakapoanza kuwaamini ya kuwa wao ni watetezi wa demokrasia ya kweli.,

Mkakati wa Raila unanikumbusha mwaka 2000 pale mgombea uraisi wa Democratic party of USA Al-Gore alipopinga baadhi ya matokeo ya maeneo machache ya Florida badala ya kuomba kura zote zirudiwe kuhesabiwa.

Kwa maoni yangu Amollo awe mkweli na kutangaza masilahi ni binafsi siyo endelevu kama anavyodai.

Pili Amollo amekuwa akidai kuna tawala mbili moja ni ya "status quo" na nyingine ni yake ambayo inalenga kuleta mabadiliko. Kwa kiongozi aliyekuwemo serikalini muda mrefu inabidi ajiulize hivi maana halisi ya "status quo" ni ipi wakati yeye mwenyewe anakiri yuko serikalini ambako amekuwa akitafuna nusu
bofloooooooooooooooooooooo.

Wakati wa kampeni Amollo alidai yeye ndiye kiongozi mwenye uzoefu kulikoni wengineo wote kama hili ni kweli yawaje anawaita wenzie ni
"statu quo" wakati yeye yupo serikalini tena kuanzi a enzi za Moi ambapo alikuwa waziri wa energy? Kama huu siyo kukosa busara sijui nini? Lakini Miguna wa Miguna kwenye kitabu chake alitujuza ya kuwa Raila ni failure wa darasa la NNE kwahiyo uwezo wake wa kutafakari unatia mashaka makubwa kabisa!


Ujumbe wa Amollo umejaa unafiki na vigumu kwa mtu mwenye akili timamu kumwamini lazima uwe juha kidogo au ziwe zimefyatuka kuafiki hizi khoja za Amollo ambazo zimejaa migongano mingi ya kimantiki na khali asilia............


hahaha nimependa hapo
 
Nimemsikiliza leo Raila akidai ya kuwa yeye hatetei ajira yake serikalini bali anatetea demokrasia: Swali linakuja kama ni kweli kwanini anayakubali matokeo ya sehemu nyinginezo zote ambazo CORD imeibuka kidedea na kuyapinga maeneo ambayo wamegalagazwa na kupigwa mweleka?

Kama kweli IEBC walicheza faulo basi Amollo na wafuasi wake wanapaswa kuyakataa matokeo yote badala ya kuchagua yale ambayo wamepigwa chali na kuanzia hapo ndipo tutakapoanza kuwaamini ya kuwa wao ni watetezi wa demokrasia ya kweli.,

Mkakati wa Raila unanikumbusha mwaka 2000 pale mgombea uraisi wa Democratic party of USA Al-Gore alipopinga baadhi ya matokeo ya maeneo machache ya Florida badala ya kuomba kura zote zirudiwe kuhesabiwa.

Kwa maoni yangu Amollo awe mkweli na kutangaza masilahi ni binafsi siyo endelevu kama anavyodai.

Pili Amollo amekuwa akidai kuna tawala mbili moja ni ya "status quo" na nyingine ni yake ambayo inalenga kuleta mabadiliko. Kwa kiongozi aliyekuwemo serikalini muda mrefu inabidi ajiulize hivi maana halisi ya "status quo" ni ipi wakati yeye mwenyewe anakiri yuko serikalini ambako amekuwa akitafuna nusu bofloooooooooooooooooooooo.

Wakati wa kampeni Amollo alidai yeye ndiye kiongozi mwenye uzoefu kulikoni wengineo wote kama hili ni kweli yawaje anawaita wenzie ni
"statu quo" wakati yeye yupo serikalini tena kuanzi a enzi za Moi ambapo alikuwa waziri wa energy? Kama huu siyo kukosa busara sijui nini? Lakini Miguna wa Miguna kwenye kitabu chake alitujuza ya kuwa Raila ni failure wa darasa la NNE kwahiyo uwezo wake wa kutafakari unatia mashaka makubwa kabisa!


Ujumbe wa Amollo umejaa unafiki na vigumu kwa mtu mwenye akili timamu kumwamini lazima uwe juha kidogo au ziwe zimefyatuka kuafiki hizi khoja za Amollo ambazo zimejaa migongano mingi ya kimantiki na khali asilia............

Comments za huyu jamaa zinanikumbusha hadithi ya dua za kuku kwa mwewe. Wewe tuambie ni yapi umefanyia jamii ya nhi yako na mawazo yako hayo ambayo unayapa hadhi kiasi hicho kwa maneno yako mwenyewe? Anachoweza kufanya kuku ni kuishia kumlilia mtoto wake kama wewe na haya mawazo yako !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S-heart-2:.
 
Jamaa alikuwa hakujiandaa kwa uchaguzi, yeye alitegemea hawa jamaa watazuiliwa kusimama basi yeye utakuwa mteremko. Huyu mbinafsi saana, anaangaliatumbo lake na la familia yake.
 
Ukiona BBC wameanza kuandika hivi hasa kwenye nyekundu hapo chini, hatima ya Raila inakua inaelekea kikomo.

-------

Kenyan Prime Minister Raila Odinga has filed a Supreme Court appeal against Uhuru Kenyatta's narrow victory in the presidential election's first round.

Mr Kenyatta beat Mr Odinga comfortably by 50.07% to 43.28% on 4 March, avoiding a run-off by only 8,100 votes.

But Mr Odinga has accused the electoral authorities of manipulating the result.
Police fired tear gas to disperse about 100 supporters of his Coalition for Reforms and Democracy (Cord) who had gathered outside the Supreme Court.
The police had warned them that they would not be allowed to do so.
Continue reading the main story [h=2]"Start Quote[/h]
Expect a new election, and this time around no monkey-business"
James Orengo Ally of Raila Odinga
Some of the crowd were wearing t-shirts bearing slogans including "I support the petition" and "Democracy on trial".
The presidential, legislative and municipal elections held 12 days ago were the first since the 2007 poll which set off ethnic and political violence in which more than 1,200 people were killed.
Mr Kenyatta and his running mate, William Ruto, are facing trial on charges of crimes against humanity at the International Criminal Court (ICC) for allegedly fuelling the unrest. They deny the charges.
'Strong case' Lawyers for Mr Odinga said their petition to the Supreme Court included allegations of vote manipulation, as well as problems with the registration of voters and an electronic vote counting mechanism.
_66430666_63d19394-25f7-4ef5-9804-b6d61d5431eb.jpg
Supporters of Mr Odinga's party were dispersed by police after gathering outside the Supreme Court
"I have no hesitation whatsoever in lawfully challenging the election outcome," Mr Odinga told reporters outside his offices in Nairobi.
"These failures dwarf anything Kenyans have ever witnessed in any previous election," he added.
However, the prime minister urged his supporters not to resort to violence.
"We cannot begin what is supposed to be a new era under a new constitution in the same old ways," he added, referring to the charter adopted in 2010.
The Minister of Lands, James Orengo, a senior Cord official, said the party had a constitutional right to file the petition and a "strong case".
"Expect a new election, and this time around no monkey-business. I think we're going to win and win in the first round," he told KTN TV.
"I can assure you that we have the evidence, and we have the will and the preparedness to prosecute the petition," he added.
_66430539_7ab66b3f-5db5-4ef1-aacc-290de31a68ad.jpg
The Independent Electoral and Boundaries Commission insists that the vote was credible
Mr Orengo nevertheless promised that Cord would respect the Supreme Court's ruling if it went against the party, and urged Mr Kenyatta and his supporters to declare that they would do likewise.
In his acceptance speech last Saturday, Mr Kenyatta described the election as "free and fair" and a "triumph of democracy".
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) has also insisted that the vote was credible and that it is ready for any legal scrutiny.
International observers said the election was largely free, fair and credible, and that the electoral commission had conducted its business in an open and transparent manner.
Mr Odinga was the runner-up to Mwai Kibaki in the 2007 presidential election, which he also said was stolen.
 
Wakenya wanasiasa zao zipo tofauti na siasa za Tanzania hivyo tukihoji tusilinganishe na sisa za majitaka za hapa!!Mtizamo wangu!
 
Jamaa alikuwa hakujiandaa kwa uchaguzi, yeye alitegemea hawa jamaa watazuiliwa kusimama basi yeye utakuwa mteremko. Huyu mbinafsi saana, anaangaliatumbo lake na la familia yake.

Ndani ya CORD Stephen Kalonzo Msyoka ndo ananishangaza zaidi, mwaka 2007 RAO aliibiwa kura wazi wazi na kila mtu alijua hivyo Kalonzo kwa kua aliahidiwa umakamu wa raisi akaibuka na kusema kua uchaguzi ulikua huru na wa haki safari hii dalili za wazi zinaonyesha kua RAO ameanguka Kalonzo anasema kua wameibiwa kura. Hivi mtu kama huyu unaweza kua nae kwenye kundi halafu useme unatetea wananchi kweli?
 
Ndani ya CORD Stephen Kalonzo Msyoka ndo ananishangaza zaidi, mwaka 2007 RAO aliibiwa kura wazi wazi na kila mtu alijua hivyo Kalonzo kwa kua aliahidiwa umakamu wa raisi akaibuka na kusema kua uchaguzi ulikua huru na wa haki safari hii dalili za wazi zinaonyesha kua RAO ameanguka Kalonzo anasema kua wameibiwa kura. Hivi mtu kama huyu unaweza kua nae kwenye kundi halafu useme unatetea wananchi kweli?

hawa watu wanaumwa,
kwanza walikuwa wanasema uhuru hajashinda but kwenye petition yao hakuna mahali wamesema ivo,
pili walisema tume ya uchaguzi ndio imewaibia kura sasa wamemshitaki kamishna wa tume na uhuru, sijui uhuru wanamshitak kwa lip
tatu wanataki mshitakiwa ndio awape document za wao kuzitumia kumshinda mshitakiwa
nne wanaiomba mahakama ifute uchaguzi wote had wa madiwani
SWALI kama watashinda n tume ipi itakayo simamia uchaguz? n kwa nin mwanzo walikuwa na iman sana na tume mpaka walipoanza kuzidiwa na nguvu ya matokeo ya uchaguzi?
n kwa nini kwenye petition yake hasemi yeye ndio mshindi na sio uhuru wakti kwenye media akikuwa anasema kashinda?
Kiukweli anaonekana ni mfamaji. Anafaa atambue ya kwamba katika uchaguzi ni lazima ajipange kutumia silaha nyepes na nzito otherwise amefanya kazi nzito ya kuleta demokrasia kenya but the same demokrasi wil kil him politically softly cause he is seen now like a tamaa ya madaraka!
 
hawa watu wanaumwa,
kwanza walikuwa wanasema uhuru hajashinda but kwenye petition yao hakuna mahali wamesema ivo,
pili walisema tume ya uchaguzi ndio imewaibia kura sasa wamemshitaki kamishna wa tume na uhuru, sijui uhuru wanamshitak kwa lip
tatu wanataki mshitakiwa ndio awape document za wao kuzitumia kumshinda mshitakiwa
nne wanaiomba mahakama ifute uchaguzi wote had wa madiwani
SWALI kama watashinda n tume ipi itakayo simamia uchaguz? n kwa nin mwanzo walikuwa na iman sana na tume mpaka walipoanza kuzidiwa na nguvu ya matokeo ya uchaguzi?
n kwa nini kwenye petition yake hasemi yeye ndio mshindi na sio uhuru wakti kwenye media akikuwa anasema kashinda?
Kiukweli anaonekana ni mfamaji. Anafaa atambue ya kwamba katika uchaguzi ni lazima ajipange kutumia silaha nyepes na nzito otherwise amefanya kazi nzito ya kuleta demokrasia kenya but the same demokrasi wil kil him politically softly cause he is seen now like a tamaa ya madaraka!

Pamoja na kelele zote uchaguzi ukirudiwa bado watashindwa tu. Sioni kama kuna uwezekano wowote wa hawa jamaa kushinda labda wapate msaada wa moja kwa moja kutoka ICC.
 
Back
Top Bottom