Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Huyo mzee ana nondo kibao kichwani tu ila tangu ampate mahondaw ndo imekua hiviIla we jamaa wewe me nilijua robort hahahaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzee ana nondo kibao kichwani tu ila tangu ampate mahondaw ndo imekua hiviIla we jamaa wewe me nilijua robort hahahaaa
Kuna muda ana furahisha pia anakera utasikiaHuyo mzee ana nondo kibao kichwani tu ila tangu ampate mahondaw ndo imekua hivi
Hahahah yuko vizuri sana huyo sema tu siku hizi kawa slowKuna muda ana furahisha pia anakera utasikia
Ngo waje..watakupa muongozo
Cc mahondaw
afu ajabu hadi ********* yupo hivyo hivyo.
Hahahaaa huyu jamaa wampe kazi awe mods tu..!Hahahah yuko vizuri sana huyo sema tu siku hizi kawa slow
Cc Smart911
Haina kuroot kuna njia zakehii kitu mpaka uroot simu au kavu kavu tuu
Hawawezi, binafsi natumia china version na huwa naziweka playstore na hakuna iliyowahi kua blocked maana huwa naziuza na hakuna mteja aliyewahi kuja nilalamikiaUnaweza kuweka hata wewe mwenyewe sema usitegemee experience kuwa smooth, na wanaweza pia kuiblock kwa baadae
Mzee una root simu?Haitasumbua
Fika kkoo mtaa wa Uhuru na Likoma, kisha ulizia kwa B.M.
Mkuu issue ya Huawei ni tofauti na simu nyengine za kichina.Hawawezi, binafsi natumia china version na huwa naziweka playstore na hakuna iliyowahi kua blocked maana huwa naziuza na hakuna mteja aliyewahi kuja nilalamikia
Simu ninaroot inapotokea kuna operation natakiwa kuifanya,mfano kutoa network lock za mitandao ya nje mfano AT & T au T-Mobile au Orange simu lazima iwe rooted kisha ndo ufanye hizo operation kwa Z3X, Octoplus au Chimera ToolMzee una root simu?
Huwa ni shi ngapi?Simu ninaroot inapotokea kuna operation natakiwa kuifanya,mfano kutoa network lock za mitandao ya nje mfano AT & T au T-Mobile au Orange simu lazima iwe rooted kisha ndo ufanye hizo operation kwa Z3X, Octoplus au Chimera Tool
Sijajua wewe unapoulizia kuroot unaroot kwa ajili ya nini au kwa sababu gani? Maana mimi ni Fundi Simu upande wa Software
Nakusudia unatoa huduma ya rootingSimu ninaroot inapotokea kuna operation natakiwa kuifanya,mfano kutoa network lock za mitandao ya nje mfano AT & T au T-Mobile au Orange simu lazima iwe rooted kisha ndo ufanye hizo operation kwa Z3X, Octoplus au Chimera Tool
Sijajua wewe unapoulizia kuroot unaroot kwa ajili ya nini au kwa sababu gani? Maana mimi ni Fundi Simu upande wa Software
Inategemea na aina ya simu na model pia server creditsHuwa ni shi ngapi?
Ndiyo natoa kama unahitaji lakiniNakusudia unatoa huduma ya rooting
Ndio. NahitajNdiyo natoa kama unahitaji lakini
Fika ofisini likoma na uhuruNdio. Nahitaj
Bado cjapapata fresh.. Nielekeze vzrFika ofisini likoma na uhuru
Na. Unaroot kwa bei ganFika ofisini likoma na uhuru
Inategemea aina ya simu na model, pia na chipset yakeNa. Unaroot kwa bei gan
Fika mtaa wa Uhuru na Likoma kama unatokea mtaa wa Uhuru unaingia mtaa wa Likoma kushoto kwako Kuna Akiba Bank, jengo linalofuata kuna wanaobet mbele kidogo utaona fremu ina duka la pc na vifaa vya pc ukiangalia mbele mkono wa kulia utaona Posta bank simama hapo kisha ulizia kwa BMBado cjapapata fresh.. Nielekeze vzr