Hivi kweli simu za HUAWEI bado zinatumia google playstore?

Hivi kweli simu za HUAWEI bado zinatumia google playstore?

Fika mtaa wa Uhuru na Likoma kama unatokea mtaa wa Uhuru unaingia mtaa wa Likoma kushoto kwako Kuna Akiba Bank, jengo linalofuata kuna wanaobet mbele kidogo utaona fremu ina duka la pc na vifaa vya pc ukiangalia mbele mkono wa kulia utaona Posta bank simama hapo kisha ulizia kwa BM

Tunashughulikia matatizo yote ya simu mpaka matengenezo ya iPhone
Mkuu naweza pataa Kioo cha Samsung A11
 
Back
Top Bottom