Hivi kweli wanayanga leo mlikuwa na Matumaini ya kuchukua Kombe kwenye ardhi ya Mwarabu?

Hivi kweli wanayanga leo mlikuwa na Matumaini ya kuchukua Kombe kwenye ardhi ya Mwarabu?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Wale jamaa wana kila mbinu za kuhakikisha kombe linabakia kwenye ardhi yao, week ikiyopita nikiandika hapa mkanibeza.

Yale mafataki yalikuwa yanapigwa kwa vipindi maalumu siyo kama sisi tunavyoyapigaga hapa kiholela.

Ratiba ya mafataki ilikuwa kama ifiatavyo;
1. Hotelini walipofikia Yanga.
2. Wakati timu zinaingia uwanjani tayari kabisa kuanza mchezo.
3. Dakika ya 40 ya mchezo.
4. Dakika ya 85 ya mchezo

Wale jamaa walijipanga ndani na nje uwanja, nyie mnalalama oooohhh tunaenda CAF, nendeni mkapewe kombe la kumfunga muarabu kwake 😂😂😂😂

9F021F03-E046-4476-976D-DB18FAF3517F.jpeg
 
Wale jamaa wana kila mbinu za kuhakikisha kombe linabakia kwenye ardhi yao, week ikiyopita nikiandika hapa mkanibeza.

Yake mafataki yalikuwa yanapigwa kwa vipindi maalumu siyo kama sisi tunavyoyapigaga hapa kiholela.

Ratiba ya mafataki ilikuwa kama ifiatavyo.


Hotelin walipofikia yanga

Wakati timu zinaingia uwanjani tayari kabisa kuanza mchezo

Dakika ya 40 ya mchezo

Dakika ya 85 ya mchezo

Wale jamaa walijipanga ndani na nje uwanja, nyie mnalalama oooohhh tunaenda caf, nendeni mkapewe kombe la kumfunga muarabu kwake 😂😂😂😂

View attachment 2645341
Kwa nini wasichukue? Bahati haikuwa Yao Toka Wakiwa Dar ila next time wajifunze kutengenezea Timu ambayo haitakuwa inamtegemea mtu mmja pekee..

Aziz Ki hamna kitu,Morrison Amechoka,watafute viungo wa pembeni kama Orebonye Ili Timu iwe na Makali zaidi kiasi Akibanwa Mayele wengine wafunge.
 
Kwa nini wasichukue? Bahati haikuwa Yao Toka Wakiwa Dar ila next time wajifunze kutengenezea Timu ambayo haitakuwa inamtegemea mtu mmja pekee..

Aziz Ki hamna kitu,Morrison Amechoka,watafute viungo wa pembeni kama Orebonye Ili Timu iwe na Makali zaidi kiasi Akibanwa Mayele wengine wafunge.
Bahati huwa haiji mara mbili, kama tena basi itachikua muda sana, ngozi nyeusi ukiingia final na hawa waarabu umeisha.
 
Ukweli kuna watu waliamini Yanga hana uwezo wa kuchukua, tena mkaamini watafungwa goli nyingi... na ukweli ni kwamba hata wewe baada ya goli la Yanga ukaamini kwamba Yanga anaweza chukua ubingwa... ni chuki tu ndio itafanya msikubali hili
 
As vita, walitisha sana kipindi kile, Orlando pirate mwaja jana now wako wapi hao wote?
Hizo Timu zote umezitaj Huwa sio washindani kwenye Ligi zao za ndani Huwa wanabahatisha tuu ila Yanga na Simba ndio wababe wa Tanzania ni lazima wawepo CAF
 
Hizo Timu zote umezitaj Huwa sio washindani kwenye Ligi zao za ndani Huwa wanabahatisha tuu ila Yanga na Simba ndio wababe wa Tanzania ni lazima wawepo CAF
Orlando na vita siyo wababe kwenye ligi zao? 🤣🤣
 
Back
Top Bottom