Hivi kweli wanayanga leo mlikuwa na Matumaini ya kuchukua Kombe kwenye ardhi ya Mwarabu?

Hivi kweli wanayanga leo mlikuwa na Matumaini ya kuchukua Kombe kwenye ardhi ya Mwarabu?

Wenzao wakati wanafundisha mashabiki wao kupiga Mafataki sie huku kikosi cha kutuliza ghasia kilikuwa kinafundishwa kuwashughulikia mashabiki wao kwa maji ya washawasha kabla ya mechi!

Tulikubaliana hakuna kufa kiume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa, huku mashabiki ukifanya hivyo mbna utashangaa una kipigo kutoka kwa mlinzi wa SUMMA
 
Zile fataki zao zimenifurahisha sana, pamoja na ule moshi aise huu ndio ushabiki, unaleta hamasa
 
Back
Top Bottom