Nimesikia wasomi wawili wa ngazi ya PhD wakitofautiana katika kutaja desimali (decimal notation). Mmoja ana PhD ya kusomea na mwingine ya heshima. Alianza yule mwenye PhD ya kusomea na kusema kwa majigambo na kujiamini kuwa mteuliwa amepata asilimia themanini na tisa nukta arobaini na mbili (89.42), mfano, na yule mwenye PhD ya heshima alitamka asilimia themanini na tisa na point nne mbili (89.42), mfano. Je, kati ya hawa wasomi wawili nani yuko sahihi?!
Themanini na tisa pointi nne mbili ndio sahihi, ukisema arobaini na mbili unamaanisha nne ipo kwenye makumi which is not true
i.e Nne katika nafasi ya makumi ndo inaitwa arobaini
Hata hivyo wewe ndiye umetafsiri kaongea kwa majigambo, pia sio kila mtu mwenye PhD anabackground ya Mathematics, so sioni tatizo hapo.
Ni kama umetafuta point ya kutaka ku-judge PhD yake
Hata hivyo wewe ndiye umetafsiri kaongea kwa majigambo, pia sio kila mtu mwenye PhD anabackground ya Mathematics, so sioni tatizo hapo.
Ni kama umetafuta point ya kutaka ku-judge PhD yake