Hivi lengo la kuja duniani ni nini?

Ukifikiria sana, ata hizi mbwembwe tunazozifanya ni ubatili tu. Maisha yako ya kuishi duniani ni ndani ya miaka 80; baada ya hapo, lazima upotee na usaaulike, waje viumbe wengine waendelee kujimwambafai.​
 
Ni ngumu kujua, kusudi la kuja Duniani, kiasi hata aliyetuleta hataki tumuone tukiwa hai hapa Duniani!
 
Mungu ametuumba ili TUMJUE,TUMPENDE,TUMTUMIKIE na mwisho tufike MBINGUNI.
 
Siku utapoamia kujiuliza hayo maswali wewe mwenyewe, ndo siku utapata majibu
 
Naona kama tuliletwa kuwatumikia wanasiasa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…