ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Vp kuna totoz hapo au unapiga mama ntilie!?Nainjoi maisha nikiwa CHANIKA hapa kwa MBIKI
Msinipangie maisha mimidogo ARVs hakuna usije tena huku kuomba ushauri
Ahahaha wapo watoto wa kimakonde kama wote mkuu alafu ni kuku wa kienyeji.Vp kuna totoz hapo au unapiga mama ntilie!?
Sawa, Ongezea Spika yako walinzi .Usinipangie maisha mkuu
Spika ndo nnSawa, Ongezea Spika yako walinzi .
Au Sio ?Spika ndo nn
Tatizo kushiba sasa.Ukishiba ndio malengo.huanzaπ
Umeniacha hapo mkuu...Au Sio ?
Kwamba hujui Spika ikoje.
Naona kama tuliletwa kuwatumikia wanasiasa tuKuna swali huwa linanizunguka kichwani hasa linaniambia lengo la kuja duniani nini?
Kwanini wengine duniani watajirike na wengine wawe masikini? Na kwanini wengine wamake Impact ila wengine wasimake impact?
Kwanini wagunduzi wengi wa Teknologia wengi ni ngozi nyeupe? Kwamba waAfrika wengi wetu tumekuja kusindikiza wengine?
Lengo la kuumbwa ni nini? Akiachana na kuja kuabudu je lengo hasa nini? π«π«π«