LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
You are right. Mwanzo 1:28Ni kuinjoi na mishangazi na wamama wenye mashepu ya kuvutia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are right. Mwanzo 1:28Ni kuinjoi na mishangazi na wamama wenye mashepu ya kuvutia
dogo ARVs hakuna usije tena huku kuomba ushauriNi kuinjoi na mishangazi na wamama wenye mashepu ya kuvutia
nukta.Maisha hayana maana.
Ni mtu mwenyewe ndiye huamua kuyapa Maana
Kusudi la kuja Duniani unalo mwenyewe.
Life's a bitch and death's her sister, sleep is a cousin...Life's a bitch and then you die...
By: Nas and AZ
watu wee
Swali zuri sana. Maana mie naona maisha yamejaaa misery with only pockets of happinessKuna swali huwa linanizunguka kichwani hasa linaniambia lengo la kuja duniani nini?
Kwanini wengine duniani watajirike na wengine wawe masikini? Na kwanini wengine wamake Impact ila wengine wasimake impact?
Kwanini wagunduzi wengi wa Teknologia wengi ni ngozi nyeupe? Kwamba waAfrika wengi wetu tumekuja kusindikiza wengine?
Lengo la kuumbwa ni nini? Akiachana na kuja kuabudu je lengo hasa nini? 💫💫💫
KUTANDAZA MITILengo la kuumbwa ni nini? Akiachana na kuja kuabudu je lengo hasa nini? 💫💫💫
Malengo ni mawili tuu, kuzaliwa na kufa.Kuna swali huwa linanizunguka kichwani hasa linaniambia lengo la kuja duniani nini?
Kwanini wengine duniani watajirike na wengine wawe masikini? Na kwanini wengine wamake Impact ila wengine wasimake impact?
Kwanini wagunduzi wengi wa Teknologia wengi ni ngozi nyeupe? Kwamba waAfrika wengi wetu tumekuja kusindikiza wengine?
Lengo la kuumbwa ni nini? Akiachana na kuja kuabudu je lengo hasa nini? 💫💫💫
Toa uthibitisho mkuu😂😂😂 We si umesema unahitaji msaada juu ya hili jambo
Usinipangie maisha mkuuIpo siku Said atageuzwa Saida.
Nainjoi maisha nikiwa CHANIKA hapa kwa MBIKIYou are right. Mwanzo 1:28
Tukuchape dhambi tukakuchomeKuna swali huwa linanizunguka kichwani hasa linaniambia lengo la kuja duniani nini?
Kwanini wengine duniani watajirike na wengine wawe masikini? Na kwanini wengine wamake Impact ila wengine wasimake impact?
Kwanini wagunduzi wengi wa Teknologia wengi ni ngozi nyeupe? Kwamba waAfrika wengi wetu tumekuja kusindikiza wengine?
Lengo la kuumbwa ni nini? Akiachana na kuja kuabudu je lengo hasa nini? 💫💫💫