Hivi lengo la kuja duniani ni nini?

Hivi lengo la kuja duniani ni nini?

Hakuna aliyeamua kuzaliwa ulimwenguni ni mipango ya Mungu.Kwahiyo ni kuijua mipango yake iliyokatika Neno.tusipojua mipango yake hatuwezi kutimiza malengo ya kuzaliwa kwetu.Malengo ya Mungu ni kuitawala dunia sawasawa na mapenzi yake.kwa hiyo swala la umasikini halipo kwani vyote alivyuviumba ametukabidhi
 
Kuna swali huwa linanizunguka kichwani hasa linaniambia lengo la kuja duniani nini?

Kwanini wengine duniani watajirike na wengine wawe masikini? Na kwanini wengine wamake Impact ila wengine wasimake impact?

Kwanini wagunduzi wengi wa Teknologia wengi ni ngozi nyeupe? Kwamba waAfrika wengi wetu tumekuja kusindikiza wengine?

Lengo la kuumbwa ni nini? Akiachana na kuja kuabudu je lengo hasa nini? 💫💫💫
Swali zuri sana. Maana mie naona maisha yamejaaa misery with only pockets of happiness
 
وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ
"Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu mimi"
Quran 51:56
 
Kuna swali huwa linanizunguka kichwani hasa linaniambia lengo la kuja duniani nini?

Kwanini wengine duniani watajirike na wengine wawe masikini? Na kwanini wengine wamake Impact ila wengine wasimake impact?

Kwanini wagunduzi wengi wa Teknologia wengi ni ngozi nyeupe? Kwamba waAfrika wengi wetu tumekuja kusindikiza wengine?

Lengo la kuumbwa ni nini? Akiachana na kuja kuabudu je lengo hasa nini? 💫💫💫
Malengo ni mawili tuu, kuzaliwa na kufa.
 
Kuna swali huwa linanizunguka kichwani hasa linaniambia lengo la kuja duniani nini?

Kwanini wengine duniani watajirike na wengine wawe masikini? Na kwanini wengine wamake Impact ila wengine wasimake impact?

Kwanini wagunduzi wengi wa Teknologia wengi ni ngozi nyeupe? Kwamba waAfrika wengi wetu tumekuja kusindikiza wengine?

Lengo la kuumbwa ni nini? Akiachana na kuja kuabudu je lengo hasa nini? 💫💫💫
Tukuchape dhambi tukakuchome
 
Back
Top Bottom