Hivi leo hii nihamishwe kazi niende mkoa nahisi nitachanganyikiwa jamani

Hivi leo hii nihamishwe kazi niende mkoa nahisi nitachanganyikiwa jamani

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Dah,kuna mwana anahamishwa kitengo toka dsm anaenda manyara..nawaza siku inifike mim hii kitu,na kaz naacha

Maana mi boni hia hia,nmezaliwa ,soma hia hia,madem zangu woote wako hia hia,michongo yotee,vichochoro vyoote,.daah

Mi ntaacha kaz...
Bora nile nyasi kuliko kuhama dsm,.

Jus thinkn out loud.
 
Sheria za wafanyakazi wa umma unajua zinaruhusu wafanyakazi kukaa mda gani kituo kimoja?
 
Dah,kuna mwana anahamishwa kitengo toka dsm anaenda manyara..nawaza siku inifike mim hii kitu,na kaz naacha

Maana mi boni hia hia,nmezaliwa ,soma hia hia,madem zangu woote wako hia hia,michongo yotee,vichochoro vyoote,.daah

Mi ntaacha kaz...
Bora nile nyasi kuliko kuhama dsm,.

Jus thinkn out loud.
Miaka mingi iliyopita niligundua kwamba huu nao ni 'ushamba', yaani kuwa na exposure ya mkoa mmoja tu (hasa Dar) na kuhisi huwezi kuishi mkoa mwingine. Nashukuru 'ushamba' huo ulinitoka.
 
Back
Top Bottom