Hivi leo hii nihamishwe kazi niende mkoa nahisi nitachanganyikiwa jamani

Hivi leo hii nihamishwe kazi niende mkoa nahisi nitachanganyikiwa jamani

Katika sehemu ambazo sipendi kuishi nchi hii ni Mikoa ya Dar, Lindi na Mtwara(Kanda ya Pwani na Mashariki) Ningekuwa nimeajiriwa ningechagua kuishi kanda ya Ziwa Magharibi, Nyanda za Juu Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini. Kwa wale mliosoma Jiografia shule ya msingi miaka ya themanini mnaelewa naongelea mikoa gani
Amna haja ya kusaka pesa kama uipendi dar boss
 
Napoleone mwanaume haogopi kazi. Masuala ya kusema kuwa unaogopa kuhamishwa kisa umekulia dar huo ni umama.

masuala ya kusema kuwa madem wako qote wako dar so unaogopa kuhamishwa huo ni umama.

Mkoa wa manyara si porin, kumeendelea siku izi. Nenda kajifunze maisha sehemu nyingine toka hapo dar ukapate exposure ya mikoa mingine.
Exposure wap
 
Mi wa 2012 mkuu hum jf
Una mwaka na zaidi humu nafikiri ulipaswa uende ki Jf zaidi! Ila naomba nitumie msemo maarufu humu kwa watu wa aina yako "NAOMBA NIKUPUUZE MKUU"
 
Mi nilipewa transfer toka Dar to Bukoba huko ndani aisee,nilipanick sana ule mwezu mzima wa kujiandaa nilikua na mawazo mpaka nikapungua uzito,nikaenda Bukoba maisha niliyokutana nayo ni magumu sijazoea kiufupi sikua comfortable any more,nilikaa only miezi miwili nikaamua niache kazi,maana maisha yale nilikua narudishwa nyuma like 5 yrs back......nikaacha kazi nikarudi mjini nikasema msinitanie mimi sikufoji vyeti kwa hili sitavumilia bora niachane na nyie,....basi mpaka saa hizi nipo mjini napambana na maisha yangu siku zinaenda!
 
Yajayo Dsm yanafurahisha.

Jipange vyema ili siku ukihamishwa uwe ngangari.
 
Acha tuu mkuu,yataka moyo
Mi nilipewa transfer toka Dar to Bukoba huko ndani aisee,nilipanick sana ule mwezu mzima wa kujiandaa nilikua na mawazo mpaka nikapungua uzito,nikaenda Bukoba maisha niliyokutana nayo ni magumu sijazoea kiufupi sikua comfortable any more,nilikaa only miezi miwili nikaamua niache kazi,maana maisha yale nilikua narudishwa nyuma like 5 yrs back......nikaacha kazi nikarudi mjini nikasema msinitanie mimi sikufoji vyeti kwa hili sitavumilia bora niachane na nyie,....basi mpaka saa hizi nipo mjini napambana na maisha yangu siku zinaenda!
 
Mikoa mingine. Hii nchi ni kubwa sana kuliko unavyodhani. Dar ni mkoa mdogo sema watu hawajui.
huko mikoani unapolalamika ndio wenzako wanakimbilia wanafanya miradi mikubwa wanapiga pesa.
Kuna fursa kibao nje ya dar nyingi sana kuliko unavyodhani
Exposure wap
 
Inategemea shida kwako ni nini? Kwa wengine shida ni joto, foleni, tabu ya usafiri n.k.
Dar hakuna joto kiongoz,kwa wazawa wa dar tunaona kawaida tu,wengne hatupend barid
 
Dah,kuna mwana anahamishwa kitengo toka dsm anaenda manyara..nawaza siku inifike mim hii kitu,na kaz naacha

Maana mi boni hia hia,nmezaliwa ,soma hia hia,madem zangu woote wako hia hia,michongo yotee,vichochoro vyoote,.daah

Mi ntaacha kaz...
Bora nile nyasi kuliko kuhama dsm,.

Jus thinkn out loud.
Ukiajiriwa mzee ndiyo hivyo!
 
Dar kuchafu,watu Hawaogi,kuna mbu,nzi,foleni.mmmh Dar hapana kwa kweli
 
Kungekua hivo,bas Mo ,Manji,marais wastaaf wote,.diamond ,Meng etc wasingeish dar kiongoz,...hayo maneno yako hata kwenye kanga yapo
Dar kuchafu,watu Hawaogi,kuna mbu,nzi,foleni.mmmh Dar hapana kwa kweli
 
Back
Top Bottom