Hivi leo waTanzania tukiamua kutumia bidhaa zinazozalishwa ndani tu kwa miaka mitano, hatutakuwa nchi ya dunia ya kwanza?

Hivi leo waTanzania tukiamua kutumia bidhaa zinazozalishwa ndani tu kwa miaka mitano, hatutakuwa nchi ya dunia ya kwanza?

Hapana. Ila mimi siishi kwa maziwa tu.
Natumia vingi vya kitanzania.
Ila si vyote.
Nimetolea mfano wa maziwa, sijasema unaishi kwa maziwa. Sasa hoja ya kurudi 1980's ndio tuweze kutumia vya ndani ilikujaje?
 
Kwani kuna nchi inayojitosheleza kwa kila kitu?
Kutumia inferior goods kisa uzalendo ni ufala
 
Nimetolea mfano wa maziwa, sijasema unaishi kwa maziwa. Sasa hoja ya kurudi 1980's ndio tuweze kutumia vya ndani ilikujaje?
Ubora hautongezeka kwa sababu watu watakuwa wanapata faida. Wanaweza wazalishe chini ya viwango.
Labda tuweke viwango vya juu kwanza halafu tutumie hivyo.
Wengi tunaotumia bidhaa za kwetu hapa kama mbadala.
 
Kwani kuna nchi inayojitosheleza kwa kila kitu?
Kutumia inferior goods kisa uzalendo ni ufala
Hoja ya ufala hasa ni ipi? Maana vitu vingine ni kasumba tu, mtu akisikia bidhaa hii ni ya Tz automatically anaiona haifai, ila akiambiwa ni ya ujerumani anaichangamkia, tujitafuna wenyewe.
 
Tatizo kodi kila kona ndo mana bidhaa za ndani zinakuwa na bei kubwa na pia zinakuwa hazin ubora mambo mengine hayahitaji uzalendo ni swala tu lakupunguza kodi ili tuweze kushindana na bidhaa za nje huwez lazimisha mtu anunue panado ya tanzania wakati panado ya kenya bora zaidi
 
Watanzania maendeleo tusahau, yaani uzi wa maana na wa faida kwa nchi yetu kiuchumi ila hata hamlike!!.
Naunga mkono hoja.
MAONI YANGU:
Ili hili suala lifanikiwe 100%, tuvitumie vyombo vya habari vyote kutangaza kwamba ni lazima kununua bidhaa tulizotengeneza wenyewe kwa faida ya uchumi wetu. Kwa nguvu ya ushawishi wa vyombo vya habari, hili suala litafanikiwa kupita kiwango kilichotarajiwa, kama tulivyofanikiwa kwenye mifuko ya plastiki kwa kuvitumia vyombo vya habari.
 
phala kweli, iyo simu uliyotumia kuposti upumbavu nayo itengenezwe TZ ?
 
Hapana kuna bidhaa za tz nzuri ila huwezi linhanisha na za majirani zetu
Hoja ya ufala hasa ni ipi? Maana vitu vingine ni kasumba tu, mtu akisikia bidhaa hii ni ya Tz automatically anaiona haifai, ila akiambiwa ni ya ujerumani anaichangamkia, tujitafuna wenyewe.
 
Mimi nadhani inawezekana ingawaje itabidi tuvumilie kwa muda na pia kusaidia zile brainwashed minds ziweze kuwa huru kutoka katika kifungo Cha FASHION.

Kwa Sasa naona vijana tumeanza kuwa na muamko wa kumiliki biashara haswaa katika uzalishaji na si uchuuzi. Ingawa ujasiriamali wa aina hiyo umekuwa fashion kwa Sasa na kutupa hamasa ya financial freedom lakini tunapoelekea itakuwa Kama culture na hapo ndipo Hilo dhumuni la kutumia bidhaa za ndani litafanikiwa.
 
Hapana kuna bidhaa za tz nzuri ila huwezi linhanisha na za majirani zetu
Bidhaa za majirani zimetuzidi packaging na wanavyojitangaza na hili Ni kawaida kwa sababu wao uzalishaji wameuanza zamani.
Kwa bidhaa za viwanda vikubwa Ni sawa maana teknolojia inahusika sana ila kwa vitu vidogo, Tanzania tuna products nyingi nzuri.

Kuna bidhaa za sabuni Kama Zoazoa Ni nzuri Sanaaaa, hazina kemikali ila zinafanya kazi vizuri. Ila failure Ni kwenye packaging
 
phala kweli, iyo simu uliyotumia kuposti upumbavu nayo itengenezwe TZ ?
Ina maana huu uzi unaouona ni wa kifala?, hebu tuambie ufala wa huu uzi ni nini?, mleta mada arekebishe nini kwenye huu uzi ili uonekane siyo wa kifala?, tuambie.
Mdomdogo ndiyo mwendo, tukiukuza uchumi wetu kwa njia hii ya kununua vitu vya ndani, tutamiliki hata viwanda vya simu.
 
Zoazoa ni nzuri ukilinganisha na?

Majirani zetu hizi bidhaa wanazotuuzia hapa ni nzuri sana

Omo
Blueband
Prestige
Vaseline
Onga
Ariel
Toss
Jamaa sabuni mche


Tafuta sabuni au bidhaa kama hizo zitengenazwo Tz ulinganishe ubora wake
Bidhaa za majirani zimetuzidi packaging na wanavyojitangaza na hili Ni kawaida kwa sababu wao uzalishaji wameuanza zamani.
Kwa bidhaa za viwanda vikubwa Ni sawa maana teknolojia inahusika sana ila kwa vitu vidogo, Tanzania tuna products nyingi nzuri.

Kuna bidhaa za sabuni Kama Zoazoa Ni nzuri Sanaaaa, hazina kemikali ila zinafanya kazi vizuri. Ila failure Ni kwenye packaging
 
Zoazoa ni nzuri ukilinganisha na?

Majirani zetu hizi bidhaa wanazotuuzia hapa ni nzuri sana

Omo
Blueband
Prestige
Vaseline
Onga
Ariel
Toss
Jamaa sabuni mche


Tafuta sabuni au bidhaa kama hizo zitengenazwo Tz ulinganishe ubora wake
Ubora wa bidhaa hupimwa kwa kuangalia angle tofauti na ukiangalia post yangu ya nyuma utaona nimekubali kuwa bado tuna upungufu au madhaifu katika uzalishaji ukilinganisha na wenzetu maana wao walianza kitambo.

Wabongo kumiliki uzalishaji wa viwandani bado tupo nyuma and that's obvious hivyo, soko letu kuwa saturated na bidhaa za nje sio maajabu hususani Kenya ambayo ni kawaida Toka kitambo hicho.

Zoazoa ni bora kwa kuangalia uwezo wake wa kuondoa harara na vipele plus Haina kemikali nyingi hivyo kuifanya bidhaa healthy kwa ngozi. Usisahau inauzwa kwa Bei rahisi ukilinganisha na bidhaa za nje zinazouzwa nchini kwa bei yake.
 
Ubora hautongezeka kwa sababu watu watakuwa wanapata faida. Wanaweza wazalishe chini ya viwango.
Labda tuweke viwango vya juu kwanza halafu tutumie hivyo.
Wengi tunaotumia bidhaa za kwetu hapa kama mbadala.
Mfano, maziwa ya Tz , yana ubora wa hali ya juu, ila watu bado watanunua ya sauzi
Watanzania maendeleo tusahau, yaani uzi wa maana na wa faida kwa nchi yetu kiuchumi ila hata hamlike!!.
Naunga mkono hoja.
MAONI YANGU:
Ili hili suala lifanikiwe 100%, tuvitumie vyombo vya habari vyote kutangaza kwamba ni lazima kununua bidhaa tulizotengeneza wenyewe kwa faida ya uchumi wetu. Kwa nguvu ya ushawishi wa vyombo vya habari, hili suala litafanikiwa kupita kiwango kilichotarajiwa, kama tulivyofanikiwa kwenye mifuko ya plastiki kwa kuvitumia vyombo vya habari.
Hata mifuko ya plastiki tulianza hivi hivi humu humu, kwa miaka mingi, hatimae tukafanikiwa.
 
phala kweli, iyo simu uliyotumia kuposti upumbavu nayo itengenezwe TZ ?
Acha ujinga, kwenye post yangu nimesema kabisa kwamba unless iwe haizalishwi Tz, lakini kama inazalishwa Tz basi tuwe wazalendo na kununua ya watz
 
Na ndio China walichofanikiwa, mwaka 1960 tulikuwa nao sawa kiuchumi
Ni kweli kabisa, tukijitosheleza soko la ndani automatically tutasaka ya nje, huwezi kuwaza export chumvi Rwanda wakati umeshindwa kuisambaza soko la ndani.
 
Back
Top Bottom