Upo out of context, hakuna bidhaa toka nje inayozuiwa kuja Tanzania, ila pia fahamu kwa sasa Tz ipo kwenye a vicious cycle ya lower quality, higher price kitu kinachopelekea watu kununua vya nje, na hii inapelekea bidhaa zetu kuzidi kuwa za lower quality na higher price which makes it even worse. Sasa ili kuvunja hii vicious cycle inabidi tuanza mahali, we need to start somewhere, kwanza kabisa tupende vya kwetu na kuvinunua ili kusupport wale wazaloshaji wa ndani, wakipewa hii support wataboresha ubora na economy of number itasaidia sasa kushusha gharama za uzalishaji na hapo ndio tutaanza kuexport nje maana quality itakuwa bora na bei itakuwa nafuu na tutaweza kushindana nje, sawa mzee.
Mkuu unakimbia argument yako wewe mwenyewe!
Umeanza kwa kulaumu Kenya na kuhimiza wasiruhusiwe kuingiza nchini,hapo hapo unakataa eti hujakataa wasiingize unasema "out of context"!
Mkuu,fanya kampeni watu wanunue bidhaa zao,usitumie ubora wa mwingine kwamba ndio sababu za wewe kua dhaifu!
Ndio mentality ya kulaumu other people hii!
Bidhaa zetu hizi hizi dhaifu tuuze hivyo hivyo huku tuna-improve sales zitaongezeka!
Mzee upo kwenye biashara?
Hii tabia ya ku-single out Kenya as if wao tu ndio wana-export to TZ ni myopic,maana I doubt China ndio biggest exporter to TZ,sasa huyo utamfanyaje?
Cha msingi mzee angalia trade balance yako huku una-improve bidhaa zako ili uuze zaidi sokoni..
Mkenya anakuletea maziwa,sisi tunauza matunda na mahindi Kenya,hapa ni give and take,wewe angalia tu trade balance yako!
Eti kuwafungia Wakenya ndio solution,nonsense!
Mahali pa kuanzia?Ndio wapi hapo?
Unawafungia wengine ili upate pa kuanzia?Kivipi kwa mfano?
Hii ni kuendelea kukumbatia mediocrity na low productivity!