Hivi Logically tu inaingia Akili utoke Kucheza Uingereza tena Newcastle United uje Machafuko Mafurilo FC ya Tanzania?

Hivi Logically tu inaingia Akili utoke Kucheza Uingereza tena Newcastle United uje Machafuko Mafurilo FC ya Tanzania?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kuna Watu wanapenda sana kutufanya Watanzania Wote ni Mabwege Mtozeni kama walivyo.

Tukutane kuanzia Mechi ya Ngao ya Jamii na endeleeni tu Kukariri na kujipa Moyo kuwa Msimu wa 2022 / 2023 utakuwa ni kama wa 2021 / 2022.

Machafuko Mafuriko FC endeleeni Kusajili na sasa tunangojea mumsajili Christiano Ronaldo au Lionel Messi kwani mwaka huu mmepania kuchukua Ubingwa wa Afrika na ule wa Vilabu Bora duniani.
 
Kuna Watu wanapenda sana kutufanya Watanzania Wote ni Mabwege Mtozeni kama walivyo...
Kwani logically iliwezekana vipi kocha wa timu ya ulaya ligi kubwa aje afundishe Simba halafu baadaye mumtimue?

Iliwezekanaje katika maombi ya ukocha kwa simba yafike mia halafu mmoja wapo awe ameshawahi fundisha MAN U, lakini hajaitwa kufanyiwa usaili na wala hajaajiliwa yeye..!? Kweli nyani haoni 0713 yake.
 
JamiiForums-1949662391.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hoja nzuri sana umeanzisha ila huku chini umeandika kishabiki sana.

Binafsi katika kila angle naona jamaa amekuja kutupumzikia, maana kwa umri, Yanga si sehemu ya yeye kutokea na alishatoka na kama pesa ndicho kimemleta basi anamatatizo makubwa jamaa maana soka ulaya linalipa sana hata kuliko profession nyingne,

ila ngoja tuone maana kwetu mechi ndio inachezwa uwanjani ila matokeo yanatengenezwa nje.
 
Kuna Watu wanapenda sana kutufanya Watanzania Wote ni Mabwege Mtozeni kama walivyo.

Tukutane kuanzia Mechi ya Ngao ya Jamii na endeleeni tu Kukariri na kujipa Moyo kuwa Msimu wa 2022 / 2023 utakuwa ni kama wa 2021 / 2022.

Machafuko Mafuriko FC endeleeni Kusajili na sasa tunangojea mumsajili Christiano Ronaldo au Lionel Messi kwani mwaka huu mmepania kuchukua Ubingwa wa Afrika na ule wa Vilabu Bora duniani.
Hersi kawapiga uto na kitu kizito
 
Kuna Watu wanapenda sana kutufanya Watanzania Wote ni Mabwege Mtozeni kama walivyo.

Tukutane kuanzia Mechi ya Ngao ya Jamii na endeleeni tu Kukariri na kujipa Moyo kuwa Msimu wa 2022 / 2023 utakuwa ni kama wa 2021 / 2022.

Machafuko Mafuriko FC endeleeni Kusajili na sasa tunangojea mumsajili Christiano Ronaldo au Lionel Messi kwani mwaka huu mmepania kuchukua Ubingwa wa Afrika na ule wa Vilabu Bora duniani.
Kwa nini isiwezekane?..Alex Song katoka Arsenal & Barcelona sasa hivi anacheza Arta Solar ya Djibout..

Rivaldo kacheza Cabusport ya Angola...

Carlos Idris Kameni na Diafra Sakho wamecheza Ligi kubwa Ulaya sasa hivi wapo Arta Solar ya Djibout...

Kuna wachezaji wengi tu sasa hivu wanatoka Ligibkubwa wanaenda kucheza China, Qatar, Thailand, UAE na kwingineko....Inawezekana
 
Kwa nini isiwezekane?..Alex Song katoka Arsenal & Barcelona sasa hivi anacheza Arta Solar ya Djibout..

Rivaldo kacheza Cabusport ya Angola...

Carlos Idris Kameni na Diafra Sakho wamecheza Ligi kubwa Ulaya sasa hivi wapo Arta Solar ya Djibout...

Kuna wachezaji wengi tu sasa hivu wanatoka Ligibkubwa wanaenda kucheza China, Qatar, Thailand, UAE na kwingineko....Inawezekana
Mchezaji mwenye Akili timamu kamwe hafanyi hivyo.
 
Kwa nini isiwezekane?..Alex Song katoka Arsenal & Barcelona sasa hivi anacheza Arta Solar ya Djibout..

Rivaldo kacheza Cabusport ya Angola...

Carlos Idris Kameni na Diafra Sakho wamecheza Ligi kubwa Ulaya sasa hivi wapo Arta Solar ya Djibout...

Kuna wachezaji wengi tu sasa hivu wanatoka Ligibkubwa wanaenda kucheza China, Qatar, Thailand, UAE na kwingineko....Inawezekana
Kwani pia iliwezekenaje kocha aliyefundisha madrid kwenda kifundisha kolowozard. Wao waendelee kuiba wachezaji kutoka timu zilizotoka kupanda daraja juzi. Hicho ndicho wanachokiweza kwa sasa.
 
Makolo naona mnateseka sana kuona mchezaji wa English Premier League kuja kuchezea Yanga. Ndo mjue Yanga ni chama kubwa. Kama hamjua kusoma, tazameni picha tu.

Nimecheka sana kwa jinsi ulivyochanganyikiwa.
 
Unamzungumzia huyu?
 

Attachments

  • 1db4b8780bcb4b37b0caa51b86468535.mp4
    1,010.4 KB
Bado Birigimana anaendelea kuumiza vichwa vya watu.

Leo saa moja amefungiliwa uzi wa discussion iki alitambulishwa siku 3 zilizopita.
 
Banda katoka Sherrif Tirasporr tena bara la ULAYA huko.

Sifahamu hata mimi kaja simba ili ashinde taji gani.?
 
Sadio Ntibanzokinza ametoka Ufaransa huko ila Kaja Yanga kacheza na kasepa.

Hat simba walitamani huduma yake na kuikosa kwa kushindwana tu kipengele cha mshahara wa milion 9.
 
Achana na Bigirimana kaka,hata Rivaldo aliwahi kuchkuwa kumbe la dunia pia akachezea Klabu kubwa duniani including Barcelona aliwahi kuja Africa akacheza Angola,Hata Alex Song aliwahi kuwika na Arsenal na Barcelona sasa hivi yupo Djibouti Soo kaa kwa kutulia kama mtu kafika dau sahh analotaka mchezaji hata kama klabu ipo namfua au Loliondo ataenda tu
 
Makolo wanateseka sana.

Nyie endeleeni kusagula sagula huko mikoani huenda mkatengeneza kitu.
 
Back
Top Bottom