Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makolo wanateseka sana.
Nyie endeleeni kusagula sagula huko mikoani huenda mkatengeneza kitu.
Yanga kuna vilaza,nishakukumbuka wewe ndiye uliyesema Real Madrid ya Ufaransa. Aibu kubwa hiiKuna timu miezi michache iliyopita imefundishwa na kocha iliyemchukua toka RIALI MADIRIDI wewe unashangaa mchezaji?
Song aliyecheza Premier League ndiye huyu wa sasa? Kaja Djibouti kwa vile mpira umekwisha , yaani jibu unalo mwenyewe.Achana na Bigirimana kaka,hata Rivaldo aliwahi kuchkuwa kumbe la dunia pia akachezea Klabu kubwa duniani including Barcelona aliwahi kuja Africa akacheza Angola,Hata Alex Song aliwahi kuwika na Arsenal na Barcelona sasa hivi yupo Djibouti Soo kaa kwa kutulia kama mtu kafika dau sahh analotaka mchezaji hata kama klabu ipo namfua au Loliondo ataenda tu