Hivi Lugalo ni chuo cha serikali au chuo cha jeshi?

Hivi Lugalo ni chuo cha serikali au chuo cha jeshi?

DALT

Senior Member
Joined
Jul 17, 2021
Posts
168
Reaction score
74
Napenda kutanguliza shukrani zangu kwenu,nilikuwa nataka kujua kwanini wanasema chuo cha afya cha lugalo ni Cha serikali lakini ada yao ni kama chuo binafsi, je hii inatokana na nini maana vyuo vingine vyote vya afya ambavyo mi vya serikali ada yao ni sawa.

Nawasilisha
 
Napenda kutanguliza shukrani zangu kwenu,nilikuwa nataka kujua kwanini wanasema chuo cha afya cha lugalo ni Cha serikali lakini ada yao ni kama chuo binafsi,je hii inatokana na nini maana vyuo vingine vyote vya afya ambavyo mi vya serikali ada yao ni sawa.NawasilishaView attachment 2142928
Mkuu ungeweka hizo Gharama ili tujue km ni kweli.
 
Huo ndo ukweli mkuu ada pamoja na michango kwa mwaka ni 2.6m lakini hapo kula unajitegemea
 
Ni private. Its like Makongo high school. Ni shule ya private inayomilikiwa na taasisi ya serikali. Same to Dodoma jiji fc au tanzania prisons fc sio timu za serikali
 
Dah kweli ndio maana Wana ada kubwa Asante kwa kunijuza
 
Dah kweli ndio maana Wana ada kubwa Asante kwa kunijuza
Na kinapendwa vibaya na elimu ya pale nzuri...ukiwa na Maksi za kubabaisha ngumu kupata nafasi pale kama ukiwa raia wa kawaida.
 
Jeshi ni jeshi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Vipi kuhusu chuo cha kibaha kwenye utoaji wa elimu Bora na hili cha lugalo
 
Vipi kuhusu chuo cha kibaha kwenye utoaji wa elimu Bora na hili cha lugalo
Kibaha wapo poa pia..ila Ukisoma Lugalo kupata GPA ya 4 ni jambo la kawaida matokeo yao ya mwaka jana Diploma C.O wa mwisho alikua na GPA ya 4.3
 
Kwa hiyo mkuu ni kusema kwamba lugalo ndio chuo bora zaidi Tanzania kwa upande wa diploma ya kozi za afya hasahasa C.O
 
Kwa hiyo mkuu ni kusema kwamba lugalo ndio chuo bora zaidi Tanzania kwa upande wa diploma ya kozi za afya hasahasa C.O
Kwa muonekano hakuna chuo cha serikali kinachofikia kwa ubora wa majengo...mengine sina jibu ila ni chuo kizuri mno.
 
Kwa muonekano hakuna chuo cha serikali kinachofikia kwa ubora wa majengo...mengine sina jibu ila ni chuo kizuri mno.
Aha maana mi nilichaguliwa hapo kozi ya C.O lakini nlishindwa kumudu Ada,hivyo Nina mpango wa kutafuta chuo kingine Cha serikali kwa mwaka huu
 
Back
Top Bottom