- Thread starter
- #41
Ndo maana ni Kama private tuila ni kwanini wanafaulisha sana??Aundio zile za serikali kupendelea vyakwake kama special schools
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana ni Kama private tuila ni kwanini wanafaulisha sana??Aundio zile za serikali kupendelea vyakwake kama special schools
Jaribu siku moja kutembelea kile chuo ukishatoka pale utafuta hayo mawazo...ila ni kwanini wanafaulisha sana??Aundio zile za serikali kupendelea vyakwake kama special schools
Afu nikukumbushe Lugalo wanaendaga Cream tu pale mzee bila kijiti cha maana na ufaulu wa kushiba wa Physics,Chemistry na Bios hutii pua pale kwa direct entry hata kuhamia pia ni kisanga pale.