Hivi Lugalo ni chuo cha serikali au chuo cha jeshi?

Hivi Lugalo ni chuo cha serikali au chuo cha jeshi?

Aha maana mi nilichaguliwa hapo kozi ya C.O lakini nlishindwa kumudu Ada,hivyo Nina mpango wa kutafuta chuo kingine Cha serikali kwa mwaka huu

Uongo hauna faida dogo
 
Ila nyumba zenye paa la vigae linaleta picha mbaya pale getini ukiwa barabarani linaonekana paa lenye matundu utafikiri Kuna mabonu yalitoboa.
 

Uongo hauna faida dogo
Hapana sio uongo na ndo Mana nikauliza kuwa lugalo ni serikali au private maana Wana Ada kubwa ndo mana nilipata nafasi
 
Hapana sio uongo na ndo Mana nikauliza kuwa lugalo ni serikali au private maana Wana Ada kubwa ndo mana nilipata nafasi
Ok...omba Vingine hapo kama huna pesa paogope[emoji16] mimi nilishindwa pia nilipata chance ya kuhamia ila nilipopewa join hapo hapo nikarudi nilipotoka nyege zote zilikata ilikua 2019
 
Mkuu ulikuwa umetoka chuo gani na kwa nini ulitaka kuhama[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Yeah kwa sababu transfer haikua imekamilika nicancel fasta.
Vp mkuu ajira zake zipo vp kwa Sasa na wew umebahatika kuajiriwa ,au unamaoni gani kuhusu kuisoma hii kozi mkuu
 
Vp mkuu ajira zake zipo vp kwa Sasa na wew umebahatika kuajiriwa ,au unamaoni gani kuhusu kuisoma hii kozi mkuu
Nipo Vijiwe binafsi bado sijapata GVT ...ushauri kwa herufi kubwa "C.O KWA SASA HAKUNA SHAVU"
 
Nipo Vijiwe binafsi bado sijapata GVT ...ushauri kwa herufi kubwa "C.O KWA SASA HAKUNA SHAVU"
Sawa mkuu japo serikali inaanzisha zahanati kiba vijijini cjui wanataka waganga wa kienyeji ndo wahudumie[emoji16][emoji16]
 
Hivi hapo lugalo mnakuwa mnaamshwa asubuhi kwenda mchakamchaka??Mkifeli mtihani mnaambiwa mkunje ngumi au??
Kuna maisha ya 'chuo' kweli hapo?


Huo ndo ukweli mkuu ada pamoja na michango kwa mwaka ni 2.6m lakini hapo kula unajitegemea
Ada zao mbona naona wamepunguza mwaka huu??
 

Attachments

  • Lugalo.png
    Lugalo.png
    13.4 KB · Views: 28
Hivi hapo lugalo mnakuwa mnaamshwa asubuhi kwenda mchakamchaka??Mkifeli mtihani mnaambiwa mkunje ngumi au??
Kuna maisha ya 'chuo' kweli hapo?



Ada zao mbona naona wamepunguza mwaka huu??
Hakuna hiyo ada ni tution fee ukichanganya na michango inafika 2.6M+
 
Back
Top Bottom