Tengeneza Njia
Senior Member
- Jul 29, 2022
- 121
- 205
Hii imekuwa ni kero ya muda mrefu sana sana sana, unaenda benki unakuta kidirisha kimoja au viwili tu ndo yana wahudumu mengine yote "closed" na nyomi la watu ni kubwa, watu wamekaa muda mreefu na hakuna kinachofanya na meneja kuangalia urgency na kuamrisha Watendaji wake kusaidia wateja.
Unaenda benki unatumia masaa matano.
Hebu hili liangaliwe.
Unaenda benki unatumia masaa matano.
Hebu hili liangaliwe.