Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuweka hela kwa wakala ni bure, kuhamisha hela hata kwa simu hata kutoka benk nyingine kwenda nyingine inawezekana.
Mitandao mliyo nayo mnatumia tu kuchat au
Twende ki dijtali wadau, kuna internet ba
Taasisi zinazotaka malipo lazima ufanye benki kwa ulazima na upeleke risiti ile ya benki unasemaje?Kuweka hela kwa wakala ni bure, kuhamisha hela hata kwa simu hata kutoka benk nyingine kwenda nyingine inawezekana.
Mitandao mliyo nayo mnatumia tu kuchat au
Twende ki dijtali wadau, kuna internet banking, unafanya kila kitu kiganjani mwako.
Check unaweza weka Kwa WAKALA?unaenda benk kung'ang'ana na madirisha ya nini, na mawakala kibao mtaani ,kila kona
acha uzembe wa kufikiri
ni wapi hapo ulipo pasipokuwa na wakala
tasisi gani za kishamba za hivyo unaongelea, hata TRA hawahitaji receipt za karatasiTaasisi zinazotaka malipo lazima ufanye benki kwa ulazima na upeleke risiti ile ya benki unasemaje?
Ulipo tupoHii imekuwa ni kero ya muda mrefu sana sana sana, unaenda benki unakuta kidirisha kimoja au viwili tu ndo yana wahudumu mengine yote "closed" na nyomi la watu ni kubwa, watu wamekaa muda mreefu na hakuna kinachofanya na meneja kuangalia urgency na kuamrisha Watendaji wake kusaidia wateja.
Unaenda benki unatumia masaa matano.
Hebu hili liangaliwe.
hayo ni mavitu yaliyopitwa na wakati, ushamba tu. ukiongelea check unaona kitu cha maanaCheck unaweza weka Kwa WAKALA?
ndo mpango mzimaUlipo tupo
Kwahiyo wanaoenda benki ni maprimitiveKabisa mkuu. yaani mtu kukaa hapa analalamikia madirisha sijui yamefanya nini , ni u primitive wa hali ya juu
mkuu mi nakushauri tu , tumia technolojia basi, labda uende bank tena kwa meneja kutafuta ushauriKwahiyo wanaoenda benki ni maprimitive
mbayo hayoo!!!mkuu mi nakushauri tu , tumia technolojia basi, labda uende bank tena kwa meneja kutafuta ushauri
lakini siyo kuweka laki moja
Ni haki yake kuelezea kile kinachomkera.Kabisa mkuu. yaani mtu kukaa hapa analalamikia madirisha sijui yamefanya nini , ni u primitive wa hali ya juu
Nmb kooote wako hvyoNmb Msasani branch
Nilifanya transaction crdb to crdb via simbanking tsh 5,000,000 bila makato yoyoteKuweka hela kwa wakala ni bure, kuhamisha hela hata kwa simu hata kutoka benk nyingine kwenda nyingine inawezekana.
Mitandao mliyo nayo mnatumia tu kuchat au
Twende ki dijtali wadau, kuna internet banking, unafanya kila kitu kiganjani mwako.
😀😀😀 Unakuta clerk 1-9 alafu 2 tundio wanahudumia foleni bankHii imekuwa ni kero ya muda mrefu sana sana sana, unaenda benki unakuta kidirisha kimoja au viwili tu ndo yana wahudumu mengine yote "closed" na nyomi la watu ni kubwa, watu wamekaa muda mreefu na hakuna kinachofanya na meneja kuangalia urgency na kuamrisha Watendaji wake kusaidia wateja.
Unaenda benki unatumia masaa matano.
Hebu hili liangaliwe.
Running cost ni kubwa, benki zinabana matumizi.Hii imekuwa ni kero ya muda mrefu sana sana sana, unaenda benki unakuta kidirisha kimoja au viwili tu ndo yana wahudumu mengine yote "closed" na nyomi la watu ni kubwa, watu wamekaa muda mreefu na hakuna kinachofanya na meneja kuangalia urgency na kuamrisha Watendaji wake kusaidia wateja.
Unaenda benki unatumia masaa matano.
Hebu hili liangaliwe.
Nadhani pia unazungumzia benki za Tanzania .Hii imekuwa ni kero ya muda mrefu sana sana sana, unaenda benki unakuta kidirisha kimoja au viwili tu ndo yana wahudumu mengine yote "closed" na nyomi la watu ni kubwa, watu wamekaa muda mreefu na hakuna kinachofanya na meneja kuangalia urgency na kuamrisha Watendaji wake kusaidia wateja.
Unaenda benki unatumia masaa matano.
Hebu hili liangaliwe.