BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Ni swala la muda tu tutarudi kuanza kubanana kwenye vibajaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abiria ni wapumbavu sana.pale mlangoni huwa wanagongwa hadi wanatoka na vilema.Hata ijae vipi ikisimama wanapanda.Nimefika Dar es salaam nikafanikiwa kupanda magari ya mwendokasi nikajiuliza viongozi wenye dhamana wameisha DSM? Mabasi yamechoka, yanajaza abiria hadi milango haifungi, yapo machache na hakuna msimamizi serious unayemwona mwenye lengo la kuyatunza yadumu.
Kwa namna mabasi haya yanavyoendeshwa na kwakuzingatia utaratibu mzima wa ukataji tiketi, ukaguzi wa tiketi na usimamizi wa ulinzi wa abiria niseme fedha za walipa Kodi zinatumika vibaya.
Watu wetu weusi hao hao wanamiliki mabasi ya mikoani na siku zote huduma unaona zinaboreshwa; wamepewa mradi wa serikali hakuna mwenye uchungu nao hadi aletwe Mzungu aje atusaidie kukata tiketi, kupakia abiria, kulinda NK......Nani katuloga?
Kwa huduma hizi mbovu bado unasikia IPO mamlaka ya serikali imepandisha nauli.....unasikia MTU anasema tumepandisha nauli kumvutia mwekezaji huku wananchi wakiteseka.
Kampuni hata chenchi zakuwarejeshea wateja haina kweli? Kwamba mradi wa serikali watu wanaamua kutotafuta chenchi Kwa lengo lakuwadhulumu wananchi kidogo walichonacho! Kwamba abiria asiye na pesa kamili Hana Haki, viongozi mpo wapi? Au mnasubiri waziri mkuu au Mhe. Rais atembelee huu mradi wakaulize kwanini wananchi wanalazimishwa kuja na chenchi kamili? Wakaulize kwanini watu wanajazwa Hadi kuyafanya magari kuaribika mapema?
Watu tunatafuta kazi hatuna then wapo watu wanaunderperfom mnawafumbia macho kisa ajira za undugu...poa
Hayo sio public transportation kama UDA, na nadhani wakipewa twnda ya kuendesha mradi wa BRT watafanya mambo makubwa tuAbood, Shabbiby, Kilimanjaro EXPRESS wamewezaje?
mkuu ukianza vita ya kuondoa upumbavu, wa kujitetea ni wengi mno huwezi kuelewa umsikilize nani so, wakati mwingine kwa kuwa wewe unajua ni kitu gani unafanya inakubidi ujisikilize wewe mwenyewe... Excuse ni nyingi sana ukionesha misimamo. Namfeel sana yule mwamba... Lait ungekuwa ww ungeona, wewe imagine unagundua upumbavu unafanyika sehemu fulani unakasirika sana, unaamua kwenda kufukuza wazembe alafu anatokea mtu anakushauri usifanye hivyo kwa sababu katiba hairuhusu.Kile kichwa kingekuwa kinakubali kushauriwa kingekuwa hai hadi leo.
Alikuwa muoga kukosolewa kiasi cha kupoteza wakosoaji wake kina ben saanane ETC.
Apumzike kwa amani.
🤣🤣Vyoo tu tunashindwa kuvisimamia
Mambo mengine tutaweza kweli
Ova